Blog Gani Ipo Active Sana Kuhabarisha Michezo (zaidi soka)?

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,156
13,260
awali nilikua mpenzi sana wa Shafih Dauda

sasa amefifia nimebaki wa Bin Zubeiry na Saleh Jembe

Je Kitaifa kuna Blog nyingine kali zaidi?

Kimataifa Naangali sana

Goal.com ama Live Score

kuna kali zaidi?
 
awali nilikua mpenzi sana wa Shafih Dauda

sasa amefifia nimebaki wa Bin Zubeiry na Saleh Jembe

Je Kitaifa kuna Blog nyingine kali zaidi?

Kimataifa Naangali sana

Goal.com ama Live Score

kuna kali zaidi?
Hata mimi kikwetu kwetu huwa naangalia hizo hizo mbili lakini kidunia naangalia sana livescores kama nikiwa kwenye simu ila nikiwa kwenye pc naangalia espn au lemonsport au frombar kwa ajili ya live streaming.
 
Hata mimi kikwetu kwetu huwa naangalia hizo hizo mbili lakini kidunia naangalia sana livescores kama nikiwa kwenye simu ila nikiwa kwenye pc naangalia espn au lemonsport au frombar kwa ajili ya live streaming.

hizi ngeni kwangu itabidi nipakue
 
Ni kweli kikwetu kwetu Bin Zubeiry na Saleh Jembe ndo wamekamata kwa sasa, japo sometym wao kwa wao waga wanapiganaga madongo ukiwafuatilia kwa karibu. Waache mchezo huo. Worldwide kuna xscores.com, nowgoal.com pamoja na hizo nyngne ambazo zimetajwa.
 
wa kikwetu hawa wanajituma sana, Blogers wengine wafuate nyayo zao, Big Up wakuu
Ni kweli kikwetu kwetu Bin Zubeiry na Saleh Jembe ndo wamekamata kwa sasa, japo sometym wao kwa wao waga wanapiganaga madongo ukiwafuatilia kwa karibu. Waache mchezo huo. Worldwide kuna xscores.com, nowgoal.com pamoja na hizo nyngne ambazo zimetajwa.
 
Ni kweli kikwetu kwetu Bin Zubeiry na Saleh Jembe ndo wamekamata kwa sasa, japo sometym wao kwa wao waga wanapiganaga madongo ukiwafuatilia kwa karibu. Waache mchezo huo. Worldwide kuna xscores.com, nowgoal.com pamoja na hizo nyngne ambazo zimetajwa.
hizi za nje ngeni kwangu nashukuru kunihabarisha
 
Katika pita pita yangu mitandaoni nimekutana na blog, adress yake ni "www.simbamakini.com" ambayo inaripoti taarifa za Simba Sc tu. Pia inakuwa updated kila everytime.
Sijajua nani yuko nyuma ya hii blog, ila imenifurahisha sana. Nadhani kipindi hiki tunasubiri website ya club itengenezwe, ni vyema tukawa tunapitia hiyo blog kupata taarifa za uhakika kuhusu timu yetu.

Waisome Amavubi Masuke Freeland grafani11 barafuyamoto Ngarna geniveros Jaslaws Komeo Lachuma na wanamsimbazi wote.
 
Last edited by a moderator:
Katika pita pita yangu mitandaoni nimekutana na blog, adress yake ni "www.simbamakini.com" ambayo inaripoti taarifa za Simba Sc tu. Pia inakuwa updated kila everytime.
Sijajua nani yuko nyuma ya hii blog, ila imenifurahisha sana. Nadhani kipindi hiki tunasubiri website ya club itengenezwe, ni vyema tukawa tunapitia hiyo blog kupata taarifa za uhakika kuhusu timu yetu.

Waisome Amavubi Masuke Freeland grafani11 barafuyamoto Ngarna geniveros Jaslaws na wanamsimbazi wote.

santeeee
 
Last edited by a moderator:
Katika pita pita yangu mitandaoni nimekutana na blog, adress yake ni "www.simbamakini.com" ambayo inaripoti taarifa za Simba Sc tu. Pia inakuwa updated kila everytime.
Sijajua nani yuko nyuma ya hii blog, ila imenifurahisha sana. Nadhani kipindi hiki tunasubiri website ya club itengenezwe, ni vyema tukawa tunapitia hiyo blog kupata taarifa za uhakika kuhusu timu yetu.

Waisome Amavubi Masuke Freeland grafani11 barafuyamoto Ngarna geniveros Jaslaws Komeo Lachuma na wanamsimbazi wote.
Mkuu nashukuru kwa taarifa,inapendeza mno kukutana na wadau.
 
mkuu Amavubi huyo mtu nilikuwa namuamini sana lakini sasa hata akichangia kitu cha maana kwenye "sports bar" huwa nachukulia kama utani wa soka tu,
 
Last edited by a moderator:
Katika pita pita yangu mitandaoni nimekutana na blog, adress yake ni "www.simbamakini.com" ambayo inaripoti taarifa za Simba Sc tu. Pia inakuwa updated kila everytime.
Sijajua nani yuko nyuma ya hii blog, ila imenifurahisha sana. Nadhani kipindi hiki tunasubiri website ya club itengenezwe, ni vyema tukawa tunapitia hiyo blog kupata taarifa za uhakika kuhusu timu yetu.

Waisome Amavubi Masuke Freeland grafani11 barafuyamoto Ngarna geniveros Jaslaws Komeo Lachuma na wanamsimbazi wote.

Mkuu nashukuru sana.

Nilikua natembelea sana Saleh Jembe na Bin zubeiry
 
Katika pita pita yangu mitandaoni nimekutana na blog, adress yake ni "www.simbamakini.com" ambayo inaripoti taarifa za Simba Sc tu. Pia inakuwa updated kila everytime.
Sijajua nani yuko nyuma ya hii blog, ila imenifurahisha sana. Nadhani kipindi hiki tunasubiri website ya club itengenezwe, ni vyema tukawa tunapitia hiyo blog kupata taarifa za uhakika kuhusu timu yetu.

Waisome Amavubi Masuke Freeland grafani11 barafuyamoto Ngarna geniveros Jaslaws Komeo Lachuma na wanamsimbazi wote.
Obheja sana.
 
Last edited by a moderator:
Dowload hizi app kwenye simu yako...Futmob....Mirror football.....pia napenda sana kuperuzi telegraph football...hakika watangazaji wengi wa radio na wamiliki wa blog hutoa huko taarifa zao akiwemo Binzubeiry na Saleh Jembe
 
Katika pita pita yangu mitandaoni nimekutana na blog, adress yake ni "www.simbamakini.com" ambayo inaripoti taarifa za Simba Sc tu. Pia inakuwa updated kila everytime.
Sijajua nani yuko nyuma ya hii blog, ila imenifurahisha sana. Nadhani kipindi hiki tunasubiri website ya club itengenezwe, ni vyema tukawa tunapitia hiyo blog kupata taarifa za uhakika kuhusu timu yetu.

Waisome Amavubi Masuke Freeland grafani11 barafuyamoto Ngarna geniveros Jaslaws Komeo Lachuma na wanamsimbazi wote.


Hiyo tovuti mnasubiri hadi lini?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom