Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
16,375
24,738
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
 
Wizara ya Afya sijui huwa wanafanya kazi gani, maana sioni wakifanya tafiti yoyote chini ya mwamvuli wa TMDA, ni hovyo kabisa.

Juzi kati wamezuia dawa flani kuuzwa, na hivyo baada ya nyingine kuzuia dawa hiyo kutumika kwa watoto. Tuendelee kuupiga mwingi na mama, kuna siku tutaamka tu.
 
Wuzara ya Afya sijui huwa wanafanya kazi gani, maana sioni wakifanya tafiti yoyote chini ya mwamvuli wa TMDA, ni hovyo kabisa.

Juzi kati wamezuia dawa flani kuuzwa, na hivyo baada ya nyingine kuzuia dawa hiyo kutumika kwa watoto. Tuendelee kuupiga mwingi na mama, kuna siku tutaamka tu.
Cha kushangaza,

Pamoja na Chanjo hizo kuondolewa soko la Dunia,

Hakuna tamko lolote Toka wizara ya AFYA kuzuia watu kuchanjwa Chanjo za majaribio!!!
 
Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.
Vipi ARVs unaonaje na zenyewe zikapingwa? Au hazina side effects? Chanjo ya manjano na homa ya ini hazina madhara? Chemotherapy vipi? MRI Scan haina side effects? Mbona hazipigwi marufuku?

Ni ujinga unakataa chanjo A huku unatumia chanjo B ambayo ina side effects kubwa zaidi!! Kama JPM tu alisema chanjo tuzipinge sababu wazungu hawatupendi ilihali alikua anatumia betri ya mzungu kusukuma moyo wake!!
 
Salaam,Shalom!!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga HOJA Imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda Cha kuzalisha Chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa Chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au Chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena Kwa matumizi ya binadamu.

Sababu za kuondolewa Chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na Nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda Kwa Damu Kwa waliochanja Chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,

Mungu ambariki Askofu Gwajima,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
KAMA NAMUONA YULE KAHABA WA KIZANZIBARI...
 
Juzi Jumapili nilishangaa kuna sehemu nimekaa restaurant,nasikia Efm redio tangazo la kuchanja COVID......... Wakati chanjo zenyewe ndiyo hivyo tena zingine wanazitoa sokoni,ila Ummy atakuwa anaona aibu..........

NB:Tulio na certificate bila kuchanja tunawasilimia wote mliochanja Astra Zeneca 😀
 
Huyu ni National figure,

Si mbunge wa Dar pekee!!

Hivi Mtanzania maskini, Damu igande, atajinasua vipi?
Damu ya nani imeganda? Mimi ndugu zangu 4 wamechanja na wapo fresh tu mwaka wa 4 sasa hizo story za damu kuganda nitajie mmoja tu hapa Tanzania?

Tokea chanjo imekuja Covid 19 ilipotea duniani na lock down zikaisha, cha ajabu baada ya kuumbuka mkidhani hazitafanya kazi leo mnadandia kwenye hoja ya side effects!!
 
Juzi Jumapili nilishangaa kuna sehemu nimekaa restaurant,nasikia Efm redio tangazo la kuchanja COVID......... Wakati chanjo zenyewe ndiyo hivyo tena zingine wanazitoa sokoni,ila Ummy atakuwa anaona aibu..........

NB:Tulio na certificate bila kuchanja tunawasilimia wote mliochanja Astra Zeneca 😀
Ummy anajua Eti Watanzania ml 32 wamechanja,

Kumbe wengine wamenunua vyeti, Chanjo ikamiminwa chooni😀😀
 
Mwarobaini.
Sio kweli
Screenshot_20240521-001414.jpg
 
Back
Top Bottom