and 300

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
26,716
37,052
Wapo wapinzani Wanadai kuna Kura za Mchongo. Lakini Tume HURU ya Uchaguzi inatumia mfumo Bora wa Biometric Voter System kuandikisha, kuhuisha taarifa za mpiga kura na kuhakiki taarifa hizo siku ya kupiga Kura haya yote yanafanyika ili kuhakikisha Kura zote ni halali. Tunawapongeza Tume Huru kwa kufanikisha hili.
 
Wapo wapinzani Wanadai kuna Kura za Mchongo. Lakini Tume HURU ya Uchaguzi inatumia mfumo Bora wa Biometric Voter System kuandikisha, kuhuisha taarifa za mpiga kura na kuhakiki taarifa hizo siku ya kupiga Kura haya yote yanafanyika ili kuhakikisha Kura zote ni halali. Tunawapongeza Tume Huru kwa kufanikisha hili.
Acha ungese, uliona matokeo ya uchaguzi mkuu 2020? Kuna majimba mawili tofauti kabisa wagombea wote idadi ya kura zao zili match 100%. Walitanganza matokeo yao wenyewe wanayoyajua. Kama mchengerwa alivyofanya kwenye serikali za mitaa
 
Back
Top Bottom