Binadamu waanza kuishtukia Apple, lakini wameshachelewa!

Samsung walivyo toa S6 na sasa S7 (yenye mauzo ya kufa mtu na design nzuri kupitiliza) Ndio watu wameanza kuamka na kuona IPhone ni ujinga

TatZo lako unaangalia soko la hapa Tz hapo kariakoo but tunaangalia mauzo ya apple au samsung worldwide hawa apple ni kama mavampaya kwenye hii sekta me nlkua 1 ya watu nilioikataa mara ya kwanza apple iphone 6 nikasema dizain hii hawatauza wiki ya kwanza wakauza nakala milion 5 hii leo me mwenyewe nikaja kuipenda iphone 6 ile mbaya.
 
kama umezoea kutumia huawei huwez kuelewa ubora wa bidhaa za apple
Unajua kwa sisi tuliozoea android alafu kama mtu wa technology sema ukweli ios hauwezi, maana mwaka Jana nilinunua ipad mini 3 na nikapewa iPhone 5s na Bro wangu wakati pembeni nina moto g yangu nilifurahi sana wiki ya kwanza lakini baada ya wiki hizo device zenu zikaniboa, eti customization unayoweza kufanya ni kubadili wallpaper hahaha dah... Nikaacha kuitumia nikarudia ka moto g kangu, baada ya mwezi nika jail break hiyo iPhone but still ikaniboa nikawa hata siitumii

Mwaka huu nikauza pamoja na hilo li ipad la ajabu nikanunua galaxy tab 4 10.1, na Nexus aisee sijaregret kabisa. Ndio apps zenu ni nzuri kumuonekano but kwa mtu aliezoea kucustomize, root, overclock processors n.k iPhone unaweza vunja
 
Ndugu ,kusema ukweli sio kwamba mtu ndio ujawahi kutumia vifaa vyao.mimi nimetumia simu zao tuu zote walizowahi kutoa, na sasa nipo na IPhone 6s plus.ndio wapo vizuri Sanaa ,lakini alichosema Ndugu hapo juu ndio kinatokea sasa ,maana Apple faida yao kubwa walikuwa wanapata huko China sasa unaambiwa kutokana na ushindani sasa wa makampuni mengine ya simu msimu huu mauzo yalianguka vibaya sana na wataalamu wanashauri Apple wanatakiwa kuja na kitu kipya,lakini wakiendelea hivi basi watawafuata Nokia ,BlackBerry.maana Dunia inabadilika pia maisha yanakuwa magumu kila upande ,Kama ukiangalia watumiaji wa vifaa vyao kwa Afrika ni wachache sana kulinganisha na Mabara mengine,haya Kama China na Nchi nyingine za Asia zitapunguza soko lao si hatari kibiashara Kwao ?.wamegundua hilo wamejaribu kutoa IPhone SE kwa wanaoweza kulipa kidogo,hata hivyo kibongo bongo bado ghali tuu

Target kubwa ya hawa apple kama wamarekani wanavojipenda ni marekani kwanza inafuata Ulaya canada na New zealand kama ulikua hujui hilo asia ni thailand Indonesia India na china lakin bado wataendlea kuuza kinyama sasa subiri ios 10 mwezi wa 6 wata announce na iphone 7 mwezi wa9 utakuja hapa kusema Kitu hawa jamaa kule silcon valley hawakai kunywa gahawa kwa mfano angalia sim kama iphone 5 ilitoka mwaka 2012 lakin hii leo miaka ka 4 ile simu ina kila kitu ambacho wenye sim za mwaka jana au mwaka huu zinazo ambavyo ni basic na up to date kwa smartphone
 
TatZo lako unaangalia soko la hapa Tz hapo kariakoo but tunaangalia mauzo ya apple au samsung worldwide hawa apple ni kama mavampaya kwenye hii sekta me nlkua 1 ya watu nilioikataa mara ya kwanza apple iphone 6 nikasema dizain hii hawatauza wiki ya kwanza wakauza nakala milion 5 hii leo me mwenyewe nikaja kuipenda iphone 6 ile mbaya.
aa63c14a56d1bf0b9d9be0a503001c4a.jpg


Tunaongea kwa facts Bro...

Samsung Topples Apple As Galaxy S7 Defeats iPhone
 
Hii habari yako Kama inakiukweli fulani,hakuna mwanzo uliokosa mwisho.Nokia ,BlackBerry zote hizi zilitamba sanaaaa miaka hiyo , hata hawa Apple wataanguka tuu.
Apple imeanza lini? Hao jamaa wameikuta na Wataiacha.
 
Unajua kwa sisi tuliozoea android alafu kama mtu wa technology sema ukweli ios hauwezi, maana mwaka Jana nilinunua ipad mini 3 na nikapewa iPhone 5s na Bro wangu wakati pembeni nina moto g yangu nilifurahi sana wiki ya kwanza lakini baada ya wiki hizo device zenu zikaniboa, eti customization unayoweza kufanya ni kubadili wallpaper hahaha dah... Nikaacha kuitumia nikarudia ka moto g kangu, baada ya mwezi nika jail break hiyo iPhone but still ikaniboa nikawa hata siitumii

Mwaka huu nikauza pamoja na hilo li ipad la ajabu nikanunua galaxy tab 4 10.1, na Nexus aisee sijaregret kabisa. Ndio apps zenu ni nzuri kumuonekano but kwa mtu aliezoea kucustomize, root, overclock processors n.k iPhone unaweza vunja

Ahahaha sasa kumbe tatzo lako ujajua matumizi ya simu yani unaongelea mambo ya wallpaper hapa tunaongelea mambo makuu kama Proccessor, internet ya simu na apps bila kusahau kioo cha simu sasa ukianza kutaka kuweka sura ya dem wako mara maua utataga kitu kingine usinunue kitu hii inaitwa iPad kama huna shughuli proffesional kama sio Dokta ,injinia, designer,Lecturer wa vyuo vikuu au mambo kama hayo itakuboa sana sasa hZo za samsung tab sijui wengine mnatumia kuangalizia movie au kuchezea game ipad n ya watalaam ndo inawafaa kabsa sio kwa waswahili unameajiliwa kaz za kikuda una ipad.At least kwa waswahili wachache inawafaaa kusomea vitabu n nzuri sana ila mengine utaboa
 
mm natumia iphone mwakajana ilizama kwenye ndoo ya maji usiku nikatoa line asbh nikawasha inapiga mzigo paka leo nakula maisha
hukunikiwa security ya maana

Hawa jamaa wanafanya kazi aisee pale cupertino hawauzi sura hizi sim zao me kioo hua nabadili mwenyewe au ishu imezingua yani simple aisee sim ndan wamedizain hata mtoto anaweza fungua iko poa kinyama
 
Ahahaha sasa kumbe tatzo lako ujajua matumizi ya simu yani unaongelea mambo ya wallpaper hapa tunaongelea mambo makuu kama Proccessor, internet ya simu na apps bila kusahau kioo cha simu sasa ukianza kutaka kuweka sura ya dem wako mara maua utataga kitu kingine usinunue kitu hii inaitwa iPad kama huna shughuli proffesional kama sio Dokta ,injinia, designer,Lecturer wa vyuo vikuu au mambo kama hayo itakuboa sana sasa hZo za samsung tab sijui wengine mnatumia kuangalizia movie au kuchezea game ipad n ya watalaam ndo inawafaa kabsa sio kwa waswahili unameajiliwa kaz za kikuda una ipad.At least kwa waswahili wachache inawafaaa kusomea vitabu n nzuri sana ila mengine utaboa

Tablet ninaitumia kuangalia movie na series au for Web browsing maana nina Amazon Kindle ya kusomea vitabu na ninaipenda maana inakaa na chaji kama mwezi..

Sasa mambo haya ya kutumia iTunes kuamisha movie ni upumbavu kupitiliza.. Kwangu hichi kitu siwezi zoea lakini tab fresh tu drag drop au na download moja kwa moja through torrents SIMPLICITY
 
Unajua kwa sisi tuliozoea android alafu kama mtu wa technology sema ukweli ios hauwezi, maana mwaka Jana nilinunua ipad mini 3 na nikapewa iPhone 5s na Bro wangu wakati pembeni nina moto g yangu nilifurahi sana wiki ya kwanza lakini baada ya wiki hizo device zenu zikaniboa, eti customization unayoweza kufanya ni kubadili wallpaper hahaha dah... Nikaacha kuitumia nikarudia ka moto g kangu, baada ya mwezi nika jail break hiyo iPhone but still ikaniboa nikawa hata siitumii

Mwaka huu nikauza pamoja na hilo li ipad la ajabu nikanunua galaxy tab 4 10.1, na Nexus aisee sijaregret kabisa. Ndio apps zenu ni nzuri kumuonekano but kwa mtu aliezoea kucustomize, root, overclock processors n.k iPhone unaweza vunja
ni kweli kabisa mkuu
 
Tablet ninaitumia kuangalia movie na series au for Web browsing maana nina Amazon Kindle ya kusomea vitabu na ninaipenda maana inakaa na chaji kama mwezi..

Sasa mambo haya ya kutumia iTunes kuamisha movie ni upumbavu kupitiliza.. Kwangu hichi kitu siwezi zoea lakini tab fresh tu drag drop au na download moja kwa moja through torrents SIMPLICITY

Tatzo lako ni uvivu pia wa mind yako na pia waswahili wengi washazoea kuteleza hata sehem kavu me itunes poa sana kwanza mambo ya ku sync hua naona nakua salama kuna wahun waliiba iphone angu lakin nikabaki nacheka tu nikanunua ingine nikarudisha vitu vyangu wao wakaenda kuuza kopo lile.

TATZO WABONGO MTU ANANUNUA PASSO ANATAKA APAKIE NA KUKU MBUZI HATA LIWE GETTO KUWEKEA VITU KAMA NGUO KITU FLAN ANATAKA KIWE MULTIPURPOSE WAKATI SIO ISHU SASA WAO UZUNGUNI KILA KITU KINA KAZI AKE SASA TABLET KUANGALIZIA MOVIE DAH HII KALI
 
Tatzo lako ni uvivu pia wa mind yako na pia waswahili wengi washazoea kuteleza hata sehem kavu me itunes poa sana kwanza mambo ya ku sync hua naona nakua salama kuna wahun waliiba iphone angu lakin nikabaki nacheka tu nikanunua ingine nikarudisha vitu vyangu wao wakaenda kuuza kopo lile.

TATZO WABONGO MTU ANANUNUA PASSO ANATAKA APAKIE NA KUKU MBUZI HATA LIWE GETTO KUWEKEA VITU KAMA NGUO KITU FLAN ANATAKA KIWE MULTIPURPOSE WAKATI SIO ISHU SASA WAO UZUNGUNI KILA KITU KINA KAZI AKE SASA TABLET KUANGALIZIA MOVIE DAH HII KALI
Yani hata ujaonyesha manufaa yoyote ya iTunes kwa post yako sync na wizi wapi na wapi.. Yote yale yale hata ukiamisha ma file direct bado yatabaki kwenye computer yako
 
Haya me na Ki english chenga ila subiri quarter ya 4 end of this year mana hapa hatuwezi toa maamuzi hyo s7 imetoka mwaka huu wakat apple sim alitoa mwaka jana september hapo huwez linganisha mauzo.!!!!
Haya bado Samsung itaipita maana hapo watatoa Samsung galaxy note 6 na 6 lite zishindane na hiyo iPhone yenu yenye technology za mwaka 2013
 
Haya bado Samsung itaipita maana hapo watatoa Samsung galaxy note 6 na 6 lite zishindane na hiyo iPhone yenu yenye technology za mwaka 2013
Sasa naona umeanza kubet ukweli unaujua cupertino pale hawachezi bao au draft
 
Mimi nadhani kushuka kwa mauzo kunahusiana sana kupungua kwa wateja, wateja wa Apple ni wengi, na hawabadilishi simu kila mara, mimi nina iphone 5s sitarajii kubadilisha leo au kesho sababu ina kila kitu ninachohitaji
 
Yani hata ujaonyesha manufaa yoyote ya iTunes kwa post yako sync na wizi wapi na wapi.. Yote yale yale hata ukiamisha ma file direct bado yatabaki kwenye computer yako

Ishu ya iTunes ujajua maana ake na ndo mana kama umeanza kutumia simu juz tuache tulioanza kutumia ipod ya kwanza ya apple na revolution ya mauzo ya mziki wa america na maana na wasanii kupiga pesa ndefu coz of iTunes nakupa homwork kasome historia ya itunes na apple wacha niamshe nina safari ndefu ahead km kama 1000
 
Uchumi wa China umeshuka. Hii ndiyo sababu. Huku kwetu wengine washabiki wa Apple wamenunua mpaka TV na saa.
 
Back
Top Bottom