Bilali live on Friday Night Live Show

Sio tu gigy hata sam mwenyewe, ni siielewi especially wadada wanaokuja pale kucheza si kucheza sijui hata ni nini,ngoja tuwaachie wanaopenda kukiangalia hicho kipindi...
Mimi sitaki hata kumuongelea huyo Sam maana ananichefuaga anavyojichetua balaa.
Anajikuta handsome na komwe lake kama beberu....
Wanaoangalia hicho kipindi wanajiweza,si bora nipige umbea JF?
 

Attachments

  • 1452323279434.jpg
    1452323279434.jpg
    46.8 KB · Views: 67
  • 1452323289245.jpg
    1452323289245.jpg
    47.8 KB · Views: 68
  • 1452323300913.jpg
    1452323300913.jpg
    47.8 KB · Views: 61
  • 1452323311894.jpg
    1452323311894.jpg
    33.8 KB · Views: 81
  • 1452323320568.jpg
    1452323320568.jpg
    40.1 KB · Views: 68
Yani nilipoona headline "Bilali Live on Friday Night" nilishtuka sana nikaanza jiuliza Friday Night na Bilali wapi na wapi…!!kuja ndan nakuta habari za wanaoliwa kiboga nikachoka aisee…sikuwah kujua kama kuna mtu anajina hili alafu anashika ukuta…kwa kawaida nikiona majina ya "Bilali" na " Balali" huwa nayachanganyaga sana kiasi huwa nataka kujua kulikoni watapeli wale wameibuka upya nn kumbe watu wanaojiuza banah…!!

Haaaaa umenichekesha sana
we kama mimi... mie nikajua yule Balali sijui ikabidi nifungue fasta
 
Kuna wanaume wamerogwa nadhani..Hivi watt wote wazuri town unawaacha unaenda kuliinamisha choko kama hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom