Biashara ya uwakala M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money

Lilylome

Member
Jul 1, 2020
54
57
Habari ndugu zangu naomba muongozo mwenye hakika na haya anijuze.

Nawaza kufungua ofisi ndogo ya kuwa wakala wa hudumu za kifedha kupitia mitandao ya simu,

Je, leseni ya biashara inapatikana kwa gharama kiasi gani (Mimi nipo mwanza sijawai miliki hiyo kitu ndo nata kuifuatilia Kisha nisajiri lain izo)

Je, ni faida kiasi gani naweza ingiza kwa mwezi endapo kwa siku nitafanya miamala isiyopungua 500,000 laki tano yaani sawa na 15M kwa mwezi?

Asanteni nasubiria miongozo yenu.
-------

1620194042753.png

Michango ya wadau

Swali lako hiyo miamala ya 500,000, kwa siku unaweza kupata mpaka laki 3 kwa mtandao mmoja au zaidi ila itategemea na aina ya miamala, miamala ya kutoa ina faida kuliko ya kuweka na kuna miamala mingine ya kuweka aina faida mfano unapomuwekea mtu au unapotuma pesa kwa namba ambayo aipo eneo lako, so ukifanikiwa kuzungusha miamala ya lak 5 kwa siku una uhakika wa kuingiza zaidi ya laki mbili kwa mwezi.
Yaani mwisho wa mwezi kwenye gawio lako uwa wanakata juu kwa juu kodi .

Tigo uwa hawasemi wamekukata sh.ngapi lakin wanakata ikitokea mfano wanalipa kesho ukaangalia leo commission yako ,then kesho yake wakalipa ukilinganisha na jana ulivoangalia utagundua malipo ya siku nzima hayapo ni wanapiga panga juu kwa juu (sjui kama na elewwka aisee).

Airtel :hawa mwanzo walikuwa wanakuonyesha sh.ngapi wamekukata mf;. Umepokea commission yako kiasi cha sh. 250,000. Kiasi cha kodi kilichokatwa ni 7,856,
Lakini siku izi hawaonyeshi wanakata juu kwa juu.

Voda: hawa wanakuonyesha kiasi kabla ya kukatwa kodi na baada ya kukatwa.

Halotel ; hawa hawakati .

NB;Izo kodi zinazokatwa mwisho wa mwezi ni 10% ya commission ya kila muhamala ulioufanya.

CONTROLA mkuu naomba uchangie kwenye mada hii kama hutojali.
Kwa maoni na ushauri zaidi kuhusu biashara hii soma:
 
Tafuta Leseni ya biashara inarange 80k hadi 150k Halmashauri Manispaa... Tafuta TIN NAMBA ya biashara... NA FREMU YAKO utapofanyia biashara

Faida inakuja jinsi unavyofanya miamala mingi zaidi
Asante, kila kitu kipo kasoro leseni tu.

Pia ningefahamu asilimia ngapi wanatoa Kama faida kwa mauzo hayo ya 500,000 kwa siku sawa na 15M kwa mwezi.
 
Asante, kila kitu kipo kasoro leseni tuu.

Pia ningefahamu asilimia ngapi wanatoa Kama faida kwa mauzo hayo ya 500,000 kwa siku sawa na 15M kwa mwezi
Ipo hivi idadi ya miamala ndio inakupa faida. Mfano hiyo laki tano akitoa mteja mmoja kwa mkupuo faida yake ni ndogo kuliko kama utawahadumia wateja 50 ambao watatoa 10,000 kila mmoja. Na pia wakitoa wateja mia moja kwa 5000 kila mmoja maana yake pia faida itakuwa kubwa zaidi.

KIKUBWA NI IDADI YA MIAMALA
 
Ipo hivi idadi ya miamala ndio inakupa faida. Mfano hyo laki tano akitoa mteja mmoja kwa mkupuo faida yake ni ndogo kuliko kama utawahadumia wateja 50 ambao watatoa 10,000 kila mmoja. Na pia wakitoa wateja mia moja kwa 5000 kila mmoja maana yake pia faida itakuwa kubwa zaidi.

KIKUBWA NI IDADI YA MIAMALA
Shukrani sana nimepata mwanga.
 
Swali lako hiyo miamala ya 500,000, kwa siku unaweza kupata mpaka laki 3 kwa mtandao mmoja au zaidi ila itategemea na aina ya miamala, miamala ya kutoa ina faida kuliko ya kuweka na kuna miamala mingine ya kuweka aina faida mfano unapomuwekea mtu au unapotuma pesa kwa namba ambayo aipo eneo lako, so ukifanikiwa kuzungusha miamala ya lak 5 kwa siku una uhakika wa kuingiza zaidi ya laki mbili kwa mwezi.
 
Habari ndugu zangu naomba muongozo mwenye hakika na haya anijuze.
Nawaza kufungua ofisi ndogo ya kuwa wakala wa hudumu za kifedha kupitia mitandao ya simu,

Je leseni ya biashara inapatikana kwa gharama kiasi gani (Mimi nipo mwanza sijawai miliki hiyo kitu ndo nata kuifuatilia Kisha nisajiri lain izo)

Je ni faida kiasi gani naweza ingiza kwa mwezi endapo kwa siku nitafanya miamala isiyopungua 500,000 laki tano yaani sawa na 15M kwa mwezi?

Asanteni nasubiria miongozo yenu.
TRA watataka chao fasta na kanuni yao ni VAT ni 18% ya mauzo jumla!
 
Swal lako iyo miamala ya 500,000 ,kwa siku unaweza kupata mpaka lak 3 kwa mtandao mmoja au zaid ila itategemea na aina ya miamala ,miamala ya kutoa ina faida kuliko ya kuweka na kuna miamala mingine ya kuweka aina faida mfano unapomuwekea mtu au unapotuma pesa kwa namba ambayo aipo eneo lako ,so ukifanikiwa kuzungusha miamala ya lak 5 kwa siku una uwakika wa kuingiza zaid ya lak mbil kwa mwez
... asante. Nimepata elimu; kwamba mzunguko wa 15/= faida 200K kwa mwezi!!? Na VAT inakuwaje Chief? Ni 18% ya 15m au ya 200K?
 
... hebu fafanua hiyo kitu Chief.
Yaani mwisho wa mwezi kwenye gawio lako uwa wanakata juu kwa juu kodi .

Tigo uwa hawasemi wamekukata sh.ngapi lakin wanakata ikitokea mfano wanalipa kesho ukaangalia leo commission yako ,then kesho yake wakalipa ukilinganisha na jana ulivoangalia utagundua malipo ya siku nzima hayapo ni wanapiga panga juu kwa juu (sjui kama na elewwka aisee).

Airtel :hawa mwanzo walikuwa wanakuonyesha sh.ngapi wamekukata mf;. Umepokea commission yako kiasi cha sh. 250,000. Kiasi cha kodi kilichokatwa ni 7,856,
Lakini siku izi hawaonyeshi wanakata juu kwa juu.

Voda: hawa wanakuonyesha kiasi kabla ya kukatwa kodi na baada ya kukatwa.

Halotel ; hawa hawakati .

NB;Izo kodi zinazokatwa mwisho wa mwezi ni 10% ya commission ya kila muhamala ulioufanya.

CONTROLA mkuu naomba uchangie kwenye mada hii kama hutojali.
 
Yaani mwisho wa mwezi kwenye gawio lako uwa wanakata juu kwa juu kodi .

Tigo uwa hawasemi wamekukata sh.ngapi lakin wanakata ikitokea mfano wanalipa kesho ukaangalia leo commission yako ,then kesho yake wakalipa ukilinganisha na jana ulivoangalia utagundua malipo ya siku nzima hayapo ni wanapiga panga juu kwa juu (sjui kama na elewwka aisee).

Airtel :hawa mwanzo walikuwa wanakuonyesha sh.ngapi wamekukata mf;. Umepokea commission yako kiasi cha sh. 250,000. Kiasi cha kodi kilichokatwa ni 7,856,
Lakini siku izi hawaonyeshi wanakata juu kwa juu.

Voda: hawa wanakuonyesha kiasi kabla ya kukatwa kodi na baada ya kukatwa.

Halotel ; hawa hawakati .

NB;Izo kodi zinazokatwa mwisho wa mwezi ni 10% ya commission ya kila muhamala ulioufanya.

CONTROLA mkuu naomba uchangie kwenye mada hii kama hutojali.
... nimekuelewa Kiongozi; umeeleweka vyema sana. Asante sana kwa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom