Biashara ndio kitu pekee mbadala wa AJIRA

IDDY S MHANDO

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
10,202
13,750
Wasakatonge wenzangu kama mjuavyo Mimi Huwa napenda kufanya vitu ambavyo vinaweza kuacha alama kwenye jamii, japo sijabahatika kuwa miongoni mwa watoa maamuzi muhimu wa Taifa, ila amini nakwambia siku moja tutakaa na watoa maamuzi wa Taifa na watatusikiliza kwa TUO.

Miezi kazaa nyuma niliazimia kwenda nje kwaajili ya KUTAFUTA kazi, Mungu sio ATHUMANI kwa jitihada za muda mrefu hatimae nilibahatika kukwea pipa
IMG_20240510_194022_916.jpg

Nilitoka nyumbani nikiwa na nguvu mpya, Kasi na Hali mpya, punde tu baada ya kufika Dubai nilibahatika kupata kazi ila siku ipata hiyo kazi kama nilivyo tarajia.

Nilidhani nikisha fika tu UAE ningepata kazi kwa urahisi, lah hasha nilihangaika sana Hadi kufikia nusu ya kukata tamaa, hatimae nilifanikiwa kupata kazi.
IMG-20240517-WA0092.jpeg

Kichwani nilikuwa najua ningelipwa mamilioni ambayo kwa huko nyumbani ni pesa anaZo lipwa mtu mwenye cheo kikubwa mno sikujua kuwa pesa yao huku ni nyingi kwa kuitamka ila kwenye matumizi ni ndogo sana.

Huku nyama kilo 1 ni dirham 45 hivi ambayo ni sawa na elfu 35,000/= za kitanzania 😭 😭 😭

Nikiwa na miezi kadhaa kwenye ajira yangu hiyo huku UAE nikiwa siwezi kuweka hata senti 5 ya akiba huku nikiwa ugenini nimejiinamia kama yatima, nikayakumbuka maneno ya Mrisho Mpoto kwenye wimbo wake aliweka kibwagizo "BORA KUWA MBWA ULAYA KULIKO KUWA MLINZI MBAGALA"

muda huo nilitamani hata niwe MBWA mbagala maana ningekuwa karibu na ndugu zangu.

Ndugu zangu mnao enda kutafuta kazi ughaibuni Nina waomba msivuke mipaka ya nchi yetu nzuri kwa lengo la kwenda kutafuta kazi bari mkifanikiwa kwenda nchi yoyote njoeni kutafuta fursa na tuzirudishe fursa nyumbani.

Nchi za wenzetu unaweza kwenda kufanyakazi kwa minajiri ya kujifunza kile unacho kifanyia kazi mkata ukiisha turudi nyumbani tukiwa na mipango ya kuifanyia kazi Ile fursa kwa hapa hapa bongo.

Nchi za wenzetu Kuna fursa Pana sana ya kibiashara na Kuna bidhaa nyingi mno ambazo zinahitajika sana hapa nyumbani na Zina patikana kwa wingi huko ughaibuni. Kuliko kwenda kutafuta kazi huko ni Bora ukaenda kutafuta fursa za kibiashara.
IMG-20240512-WA0102.jpeg

Kwa huko kwetu hakuna bidhaa utakayo ipeleka njee labda DHAHABU au madini kwa ujumla, na vyakula.

Hizo biashara 2 ukifanikiwa utaikataa ajira.

Nimeona niwape hii zawadi kwani swala la AJIRA ni ugonjwa unao isumbua Dunia nzima. Na ajira ni utumwa kama utumwa mwingine ila biashara ukiipatia unakuwa huru una nunua bidhaa na bei unapanga mwenyewe.

Lakini ajira ni tofauti unasoma kwa gharama zako harafu mshahala wanakupangia. Na mshahala ni kama kilevi kumbuka una pewa kiduchu ili usahau shida kwa muda mfupi. Uone bila hiyo kazi maisha Yako SI lolote SI chochote.

Ajira ughaibuni zipo ila huwezi kutajirikia kwenye ajira labda uwe fisadi au mwizi..!

Mnao taka kuja Dubai kibiashara au kutafuta kazi msisite kuwasiliana nami Whatsapp +255759170794​
 
Wasakatonge wenzangu kama mjuavyo Mimi Huwa napenda kufanya vitu ambavyo vinaweza kuacha alama kwenye jamii, japo sijabahatika kuwa miongoni mwa watoa maamuzi muhimu wa Taifa, ila amini nakwambia siku moja tutakaa na watoa maamuzi wa Taifa na watatusikiliza kwa TUO.

Miezi kazaa nyuma niliazimia kwenda nje kwaajili ya KUTAFUTA kazi, Mungu sio ATHUMANI kwa jitihada za muda mrefu hatimae nilibahatika kukwea pipa View attachment 3036894
Nilitoka nyumbani nikiwa na nguvu mpya, Kasi na Hali mpya, punde tu baada ya kufika Dubai nilibahatika kupata kazi ila siku ipata hiyo kazi kama nilivyo tarajia.

Nilidhani nikisha fika tu UAE ningepata kazi kwa urahisi, lah hasha nilihangaika sana Hadi kufikia nusu ya kukata tamaa, hatimae nilifanikiwa kupata kazi.
View attachment 3036898
Kichwani nilikuwa najua ningelipwa mamilioni ambayo kwa huko nyumbani ni pesa anaZo lipwa mtu mwenye cheo kikubwa mno sikujua kuwa pesa yao huku ni nyingi kwa kuitamka ila kwenye matumizi ni ndogo sana.

Huku nyama kilo 1 ni dirham 45 hivi ambayo ni sawa na elfu 35,000/= za kitanzania

Nikiwa na miezi kadhaa kwenye ajira yangu hiyo huku UAE nikiwa siwezi kuweka hata senti 5 ya akiba huku nikiwa ugenini nimejiinamia kama yatima, nikayakumbuka maneno ya Mrisho Mpoto kwenye wimbo wake aliweka kibwagizo "BORA KUWA MBWA ULAYA KULIKO KUWA MLINZI MBAGALA"

muda huo nilitamani hata niwe MBWA mbagala maana ningekuwa karibu na ndugu zangu.

Ndugu zangu mnao enda kutafuta kazi ughaibuni Nina waomba msivuke mipaka ya nchi yetu nzuri kwa lengo la kwenda kutafuta kazi bari mkifanikiwa kwenda nchi yoyote njoeni kutafuta fursa na tuzirudishe fursa nyumbani.

Nchi za wenzetu unaweza kwenda kufanyakazi kwa minajiri ya kujifunza kile unacho kifanyia kazi mkata ukiisha turudi nyumbani tukiwa na mipango ya kuifanyia kazi Ile fursa kwa hapa hapa bongo.

Nchi za wenzetu Kuna fursa Pana sana ya kibiashara na Kuna bidhaa nyingi mno ambazo zinahitajika sana hapa nyumbani na Zina patikana kwa wingi huko ughaibuni. Kuliko kwenda kutafuta kazi huko ni Bora ukaenda kutafuta fursa za kibiashara.
View attachment 3036923
Kwa huko kwetu hakuna bidhaa utakayo ipeleka njee labda DHAHABU au madini kwa ujumla, na vyakula.

Hizo biashara 2 ukifanikiwa utaikataa ajira.

Nimeona niwape hii zawadi kwani swala la AJIRA ni ugonjwa unao isumbua Dunia nzima. Na ajira ni utumwa kama utumwa mwingine ila biashara ukiipatia unakuwa huru una nunua bidhaa na bei unapanga mwenyewe.

Lakini ajira ni tofauti unasoma kwa gharama zako harafu mshahala wanakupangia. Na mshahala ni kama kilevi kumbuka una pewa kiduchu ili usahau shida kwa muda mfupi. Uone bila hiyo kazi maisha Yako SI lolote SI chochote.

Ajira ughaibuni zipo ila huwezi kutajirikia kwenye ajira labda uwe fisadi au mwizi..!

Mnao taka kuja Dubai kibiashara au kutafuta kazi msisite kuwasiliana nami Whatsapp +255759170794​
Walioko ughaibuni na kuajiriwa halafu wanatuma pesa za maendeleo Tanzania kwa ndugu zao, kwani wao wanawezaje?
 
Huyu kasema ukweli! Jana kuna mtu alileta andiko kama hilo kuhusu maisha ya kutafuta fursa Marekani! Alisema ni bora Upambane kutafuta fursa Bongo kuliko Marekani! Maoni ya wengi walibeza lakini huo ndo ukweli! Wengi walio ughaibuni wanaona aibu kurudi nyumbani kwasababu maisha yamewapiga!
 
Wasakatonge wenzangu kama mjuavyo Mimi Huwa napenda kufanya vitu ambavyo vinaweza kuacha alama kwenye jamii, japo sijabahatika kuwa miongoni mwa watoa maamuzi muhimu wa Taifa, ila amini nakwambia siku moja tutakaa na watoa maamuzi wa Taifa na watatusikiliza kwa TUO.

Miezi kazaa nyuma niliazimia kwenda nje kwaajili ya KUTAFUTA kazi, Mungu sio ATHUMANI kwa jitihada za muda mrefu hatimae nilibahatika kukwea pipa View attachment 3036894
Nilitoka nyumbani nikiwa na nguvu mpya, Kasi na Hali mpya, punde tu baada ya kufika Dubai nilibahatika kupata kazi ila siku ipata hiyo kazi kama nilivyo tarajia.

Nilidhani nikisha fika tu UAE ningepata kazi kwa urahisi, lah hasha nilihangaika sana Hadi kufikia nusu ya kukata tamaa, hatimae nilifanikiwa kupata kazi.
View attachment 3036898
Kichwani nilikuwa najua ningelipwa mamilioni ambayo kwa huko nyumbani ni pesa anaZo lipwa mtu mwenye cheo kikubwa mno sikujua kuwa pesa yao huku ni nyingi kwa kuitamka ila kwenye matumizi ni ndogo sana.

Huku nyama kilo 1 ni dirham 45 hivi ambayo ni sawa na elfu 35,000/= za kitanzania 😭 😭 😭

Nikiwa na miezi kadhaa kwenye ajira yangu hiyo huku UAE nikiwa siwezi kuweka hata senti 5 ya akiba huku nikiwa ugenini nimejiinamia kama yatima, nikayakumbuka maneno ya Mrisho Mpoto kwenye wimbo wake aliweka kibwagizo "BORA KUWA MBWA ULAYA KULIKO KUWA MLINZI MBAGALA"

muda huo nilitamani hata niwe MBWA mbagala maana ningekuwa karibu na ndugu zangu.

Ndugu zangu mnao enda kutafuta kazi ughaibuni Nina waomba msivuke mipaka ya nchi yetu nzuri kwa lengo la kwenda kutafuta kazi bari mkifanikiwa kwenda nchi yoyote njoeni kutafuta fursa na tuzirudishe fursa nyumbani.

Nchi za wenzetu unaweza kwenda kufanyakazi kwa minajiri ya kujifunza kile unacho kifanyia kazi mkata ukiisha turudi nyumbani tukiwa na mipango ya kuifanyia kazi Ile fursa kwa hapa hapa bongo.

Nchi za wenzetu Kuna fursa Pana sana ya kibiashara na Kuna bidhaa nyingi mno ambazo zinahitajika sana hapa nyumbani na Zina patikana kwa wingi huko ughaibuni. Kuliko kwenda kutafuta kazi huko ni Bora ukaenda kutafuta fursa za kibiashara.
View attachment 3036923
Kwa huko kwetu hakuna bidhaa utakayo ipeleka njee labda DHAHABU au madini kwa ujumla, na vyakula.

Hizo biashara 2 ukifanikiwa utaikataa ajira.

Nimeona niwape hii zawadi kwani swala la AJIRA ni ugonjwa unao isumbua Dunia nzima. Na ajira ni utumwa kama utumwa mwingine ila biashara ukiipatia unakuwa huru una nunua bidhaa na bei unapanga mwenyewe.

Lakini ajira ni tofauti unasoma kwa gharama zako harafu mshahala wanakupangia. Na mshahala ni kama kilevi kumbuka una pewa kiduchu ili usahau shida kwa muda mfupi. Uone bila hiyo kazi maisha Yako SI lolote SI chochote.

Ajira ughaibuni zipo ila huwezi kutajirikia kwenye ajira labda uwe fisadi au mwizi..!

Mnao taka kuja Dubai kibiashara au kutafuta kazi msisite kuwasiliana nami Whatsapp +255759170794​
Niwaase vijana , tulieni hapahapa, kwenda ulaya nikutafuta mateso......
 
Huyu kasema ukweli! Jana kuna mtu alileta andiko kama hilo kuhusu maisha ya kutafuta fursa Marekani! Alisema ni bora Upambane kutafuta fursa Bongo kuliko Marekani! Maoni ya wengi walibeza lakini huo ndo ukweli! Wengi walio ughaibuni wanaona aibu kurudi nyumbani kwasababu maisha yamewapiga!
Nimecheka Hadi chozi limenitoka na watanzania awapendi kuambiwa ukweli wao wanataka kuambiwa ki motivation kuwa ughaibuni Kuna mamilioni 😭😭 matokeo yake mtu anaenda kichwa kichwa bila taarifa sahihi mambo yakiwa tofauti wanaanza kujuta huku wakiwa wamepoteza sana muda...! Mimi nimeamua kuwa muwadhi kwani taarifa kama hizi siku zipata kabla sijaondoka.​
 
Back
Top Bottom