Benki ya Exim inatarajia kupiga mnada hoteli ya kifahari ya Slim Slim pamoja na samani za kumbi

kama aliuza kila kitu alikopa tena benk ya nini? ila namuombea Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi ni vizuri pia akakaa na benk aendelee na operation za hotel ili arejeshe kidogo kidogo.au kama vipi atafute mjeja amuuzie hyo b 5 awape benk yakwao abakiwe na zingine .
Arejeshe kwa Wateja wapi kipindi hiki?
 
Tupeni mrejesho!
Hotel ya Slim AKA "chekbob maarifa" ilipigwa mnada au ilislimika?
 
Hotel hazilipi miaka hii baada ya serikali kukataa mikutano na semina za taasisi zake zisifanyike mahotelini,hili limekuwa pigo kubwa sana kwa wamiliki wa mahoteli.
 
Hotel hazilipi miaka hii baada ya serikali kukataa mikutano na semina za taasisi zake zisifanyike mahotelini,hili limekuwa pigo kubwa sana kwa wamiliki wa mahoteli.
Hotel nyingi sana zimebaki kama mapango
 
Back
Top Bottom