Benki tatu hatarini kufungwa kutokana na mtikisiko wa uchumi

Na TIB pia? Kweli Hali ngumu. But nini tafsiri ya hii Hali ya mabenki mengi nchini kutikisika?
TIB ilijulikana toka miaka miwili iliyopita itafikia hali ya mufilisi miaka ya karibuni. Watu walichukua mikopo mikubwa sana kwa miradi isiyofanyiwa tathimini vizuri. Pesa nyingi kwa miradi isiyotekelezeka au isiyoweza kuleta mrejesho mkubwa kuweza kulipa deni na riba. Awamu ya mwisho hasa miaka miwili ya mwisho ya Mh. Yule waliemshangalia wabunge na akina Msigwa wakamlilia "tunakumiss.." watu mbalimbali(wanasiasa na wafanyabishara wa kweli)walichota mapesa mengi TIB kwa kasi ya ajabu.
 
Benki tatu hatarini kufungwa kutokana na mtikisiko wa uchumi
-Benki ya wanawake 'TWB'
-Ecobank Tanzania
-Efatha Bank

[HASHTAG]#MWANANCHI[/HASHTAG] NEWSPAPER 4th May 2017
Kumbe Efatha ni benki? Mimi nilijua ni yale makanisa.
 
Ecobank hawajajipanga, hasa upande wa Credit department. Wamebase sana kwenye 'soft loans' yaani wanatoa mkopo kwa vimasharti vyepesi sana. Kwenye recovery eti mtu anatumiwa barua kua anadaiwa mkopo. Nilifanya kazi kidogo pale nikaona vituko, inabidi wajipange upya. Kwa watanzania suala la kulipa deni voluntarily ni ngumu, lazima nguvu za ziada zitumike. Ni ushauri tu. Poleni sana
 
Benki tatu hatarini kufungwa kutokana na mtikisiko wa uchumi
-Benki ya wanawake 'TWB'
-Ecobank Tanzania
-Efatha Bank

[HASHTAG]#MWANANCHI[/HASHTAG] NEWSPAPER 4th May 2017
Benki ya wanawake na Benki ya Maendeleo ya Kilimo hizi zilipoanzishwa wahusika hawakujipanga
 
Utitili wa Bank ulikuwa umezidi mno, ngoja zipungue.
Sasa zikipungua itasaidia nini?Tupo mfumo huria mradi wana mitaji acha wawekeze.
Usiwe na akili za Bwana Yule anayetaka vyuo vikuu viwe vichache,wakat bado tunahitaji Tafiti na maendeleo
 
Benki tatu hatarini kufungwa kutokana na mtikisiko wa uchumi
-Benki ya wanawake 'TWB'
-Ecobank Tanzania
-Efatha Bank

[HASHTAG]#MWANANCHI[/HASHTAG] NEWSPAPER 4th May 2017
Afu utasikia zilikuwa za wapiga dili siku hizi hamna dili tena,
 
Hapo labda EcoBank ndiyo ya kuiulizia, TIB ilikuwa lazima ife tu, wale ma director wamechota hela na kuanzisha miradi bila kurudisha mikopo yao, kama kawaida yetu, kupenda kukopa lakini watata kurudisha..
Hizo zingine sidhani hata kama zina sifa zakuwa benki aise...wataalam watakuja
Efatha iko ki sadakasadaka zaidi
 
Back
Top Bottom