Ben Saanane amezimika kama moto wa Kibatari, nobody cares. Binadamu wanasahau haraka sana

Kwa hiyo ndo basi tena?
Tumechoka kupaza sauti ama sauti zetu hazisikiki kwa wahusika?
Duniani kuna mengi ya kustaajabisha lakini hili limenistaajabisha zaidi....


Swali muhimu na linalokera : YUPO WAPI BEN SANANE?
 
You can imagine mwajiri wake; wala hata hajisumbui?? Who are we to judge???

Muajiri wake ametoa taarifa kwa Serikali ya nchi yake ambayo ndiyo ili mpoteza.Nenda kamuulize Bashite atakueleza namna alivyohusika na utekaji wa Ben
 
Nilikuwa mara nyingi sana najaribu kufuatilia maandishi ya mmoja ya waandishi waliopata kutokea kusimamia walichoamini haijalishi kina athari au ukweli kiasi gani. Ben Saanane alikuwa na kitu ana kiamini. Alisimamia hicho. Dunia ya leo ni ngumu sana kupata watu wenye kitu wanachoamini zaidi ya vyeo,madaraka na pesa ni ngumu sana.

Ben Saanane sikuwa nakubaliana na kila alichoandika. kuna mengine nlikuwa napingana naye. lakini nliendelea kumheshimu kuwa alikuwa au ni kijana anayejua kutafuta support na kile anachoamini ili watu wengine pia wapate kukifahamu.

Naamini alikuwa Mwaminifu kwa mtu au watu fulan. Ben Saanane aliishi maisha yake akiamua kuwa mwanasiasa wa Aina yake ambaye hakuwa na jukwaa ambalo angesimama na kuongea kwa kutumia kipaza sauti.

Yeye alitumia kalamu.Iinawezekana kuna infos alikuwa anapewa au ni juhudi yake mwenyewe kuzitafuta. Lakini kinachonifanya leo hii niukumbushe umma habari hizi ni yu wapi Ben Saanane? Jitihada za kumtafuta zimeishia wapi? Je, watu wamekubali kuwa hayupo, amejificha au amepotea?

Tulimtia nguvu, tulimsifu kwa ujasili wake , leo haonekani mbona hatusaidii kumtafuta? hatukumbushi kumtafuta? Je ni kweli kuwa tumeshamwacha apotee?

Kwa namna hii ya usahaulifu, mnadhani tunaweza kuwa na mashujaa siku zijazo? ni nani anajua alipo ben saanane?
Umenifanya nimkumbuke Seth Benjamin aliyekufa akiunga mkono mawazo ya wanasiasa. Watu kama hawa huondoka na wanachokiamini lakini historia yao hufunikwa na kusahaulika haraka. Naichukia siasa kwa hilo.
 
Nilikuwa mara nyingi sana najaribu kufuatilia maandishi ya mmoja ya waandishi waliopata kutokea kusimamia walichoamini haijalishi kina athari au ukweli kiasi gani. Ben Saanane alikuwa na kitu ana kiamini. Alisimamia hicho. Dunia ya leo ni ngumu sana kupata watu wenye kitu wanachoamini zaidi ya vyeo,madaraka na pesa ni ngumu sana.

Ben Saanane sikuwa nakubaliana na kila alichoandika. kuna mengine nlikuwa napingana naye. lakini nliendelea kumheshimu kuwa alikuwa au ni kijana anayejua kutafuta support na kile anachoamini ili watu wengine pia wapate kukifahamu.

Naamini alikuwa Mwaminifu kwa mtu au watu fulan. Ben Saanane aliishi maisha yake akiamua kuwa mwanasiasa wa Aina yake ambaye hakuwa na jukwaa ambalo angesimama na kuongea kwa kutumia kipaza sauti.

Yeye alitumia kalamu.Iinawezekana kuna infos alikuwa anapewa au ni juhudi yake mwenyewe kuzitafuta. Lakini kinachonifanya leo hii niukumbushe umma habari hizi ni yu wapi Ben Saanane? Jitihada za kumtafuta zimeishia wapi? Je, watu wamekubali kuwa hayupo, amejificha au amepotea?

Tulimtia nguvu, tulimsifu kwa ujasili wake , leo haonekani mbona hatusaidii kumtafuta? hatukumbushi kumtafuta? Je ni kweli kuwa tumeshamwacha apotee?

Kwa namna hii ya usahaulifu, mnadhani tunaweza kuwa na mashujaa siku zijazo? ni nani anajua alipo ben saanane?
Uanzishwe uzi maalumu kwa ajili ya rambirambi tujue moja utawala huu utakumbukwa kwa mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa kweli utawala huu wa ngosha atatuua wengi sana.lakini Mwenyezi mungu anaandika tu dhambi kubwa ya kuua mtu kwa sababu anajua elimu yako ya phd haieleweki ndo unaamua auliwe tu?
Acha uongo, Kubenea mbunge na kada maarufu wa chadema keshasema anaonekana na washkaji wanakula bata.
Sasa kama kuna swali la kujibu chadema ndo watueleze vizuri.
Hata hizi habari za kupotea kwake chadema hawajazipa official coverage kubwa kuliko mambo mengine ya kawaida.
 
Muajiri wake ametoa taarifa kwa Serikali ya nchi yake ambayo ndiyo ili mpoteza.Nenda kamuulize Bashite atakueleza namna alivyohusika na utekaji wa Ben
"Ben yuko kwenye vijiwe vya kahawa"
Kwa mujibu wa makada wenzio wa chadema
 
wamrudishe kama walivyomrudisha Roma
Ney wa Mitego ana bahati alikuwa mb za kurusha insta fasta, ingekuwa hatunae nae
 
Back
Top Bottom