Pre GE2025 Bashungwa ashiriki dua ya kumuombea Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,045
5,573
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ametembelea na kujionea maendeleo ya ujenzi wa Msikiti wa BAKWATA Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera (Masjid Zahra), leo tarehe 6 Machi 2025.

IMG_3396.jpeg
Awali, Bashungwa aliungana na Sheikh wa Wilaya ya Karagwe, Alhaj Nassibu Abdu Abdalah na viongozi wa dini ya Kiislamu wa Wilaya ya Karagwe kufanya dua ya kumuombea Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na kuliombea Taifa amani na utulivu.

IMG_3398.jpeg
IMG_3397.jpeg
 
Back
Top Bottom