Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,894
- 141,318
Kumbe na tigo unatoa? Kwaheri acha kuchafua uzi wa watu mpuuziMpe tigo, kama haitemi kama kwapa lakini- maana minjino njano walivyo anaweza kuwa anabweka kama mbuzi nikimpiga miti ka nguvu ya mamba
Uhakiki wa vyeti uliokua unafanywa na serikali ya dereva wa Lori umepandisha uchumi kwa kiasi ganiAkionyeshwa cheti uchumi wa nchi unakua kwa kasi sana?
Mamangi wamekuharibuKumbe na tigo unatoa? Kwaheri acha kuchafua uzi wa watu mpuuzi
Umeandika kitu gani hapa!?Huyo Mbunge lazima kaguswa kwenye maslahi yake, kwanza aliyemtaja hajulikani.
Hata aliyoyaongea ni kama yupo chini ya mti anapiga stori na wenzake, hii issue naona sasa kila mtu anatafutia kiki kujulikana, huku majimboni mwao hakuna wanalofanyia wananchi.
Sijui mnachaguaga wabunge wengine kwa sababu gani na wa nini huko mliko khaaaaaa
Hapa kazi tu
Sawa, ctarudia tenaUsimuite hivo mdogo angu bana
Msukule huo usihangaike naoKumbe na tigo unatoa? Kwaheri acha kuchafua uzi wa watu mpuuzi
Nadhani una ndugu aliyeachishwa kazi kwa kutokuwa na cheti,maana usingemtetea huyo mbuziAkionyeshwa cheti uchumi wa nchi unakua kwa kasi sana?
Juzi mwenyewe katamka kuwa wapo elfu 9. Vipi kakosea amaAkionyeshwa cheti uchumi wa nchi unakua kwa kasi sana?
Umeandika kitu gani hapa!?
Mbona unatetea uwongo? Rais amesema wenye vyeti feki wachukuliwe hatuwa, watu wamefukuzwa kazi, wengine wamepigwa fine. Inasemekana Mkuu wa Mkowa wa Dar es Salaam vyeti vyake pia si vya ukweli, amehojiwa ameshindwa kujieleza anapiga chenga. For public interest kama hana kitu cha kuficha si aonyeshe vyeti vyake kumtolea Rais tuhuma ya kupendelea? Kwani sauti za wananchi hazina maana. Pale penye public interest Rais Pamoja na kupenda lazima jambo hili aliangalie. Watanzania wote ni sawa kwenye jicho la sheria, hiyo ni ahadi mojawapo ya Rais Magufuli, akaze roho atatuwe hili jambo, Makonda anamchonganisha na wananchi, na maadui wa Rais wanafurahia jambo hili.
Acha hizo kwa vile ni msukuma mwenzio?Akionyeshwa cheti uchumi wa nchi unakua kwa kasi sana?
Akionyeshwa cheti uchumi wa nchi unakua kwa kasi sana?
Haki itatendekaAkionyeshwa cheti uchumi wa nchi unakua kwa kasi sana?
Haya nami nasubiri nisikieHuyu mbunge anastahili kupongezwa. Anaongea mpaka waziri simbachawene na kairuki wanacheka na kufurahi.
Leo polepole ataongea channel ten saa 4 usiku inabidi atueleze vipi suala la kada wao mpendwa bashite
Pia ni Hua sio Uwa.Uwa ni scapegoat.
Mkuu kwa kuandika "una" badala ya "huna" umeharibu maana yote ya comment yako!!Nadhani una ndugu aliyeachishwa kazi kwa kutokuwa na cheti,maana usingemtetea huyo mbuzi