Bashite atajwa tena bungeni

Umeandika kitu gani hapa!?
 
Kuna haja ya msingi kabisa ya huyu Mh kuonyesha vyeti vyake kuonfoa utata huu lilioligubika taifa.

Hamna haja ya yeye kusimamia wafanyakazi Wa chini yake wakikaguliwa vyeti ilhali yeye hajafanya hivyo au anatuhumiwa kuwa na vyeti feki hata kama wanaolalamika hawawezi kuthibitisha .

Sheria ni msumeno hukata kote kote. Hapa ndio umerudi upande wake
 


Nimeishia ulipoandika "inasemekana"

Malizia kujisoma, sina muda wa kusoma udaku mnaouzungusha kisa mnaisoma namba na kusaga meno. Video iangalie mwenyewe tena then nitumie salamu kupitia TBC1 kuwa iliongelea nini, nitaje tu jina langu Cocochanel

Makonda oyeeeeeeee
 
Akionyeshwa cheti uchumi wa nchi unakua kwa kasi sana?

Acha kujitekenya wewe, waliofukuzwa kazi kwa vyeti feki je uchumi ulikuwa? Au na wewe ndyo walewale, sorry hata sikupaswa kukujibu
 
Nkisikiliza clip moja hivi bashite anamsifia mkulu eti nani kama mkulu jamani nani kama mkulu
Hahahahahah hahaha
Watu watatu tu ndiyo wakitikia kwa aibu
hakuna tena kwa kinyonge, aiseee nkajua hapo Motochini na kale kadada rubi hawakosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…