Bashe Umenifanya nilie, same study ifanyike kwenye upande wa Dawa (Pharmaceuticals)

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,431
4,505
Niseme ukweli hawa ndio mawaziri wanaopaswa kuwa ofisini. Sio wale wa kuhudhuria mikutano na upigaji.

Natamani kuona hata nafasi za uwaziri ziwe ni through competitive interview, cream’Tanzania zipo, tatizo kubwa ni mifumo ya UTEUZI .

Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo, matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.

https://m.youtube.com/watch?v=SewODa1TxLc&pp=ygURYmFzaGUgYnVuZ2VuaSBsZW8=

Bashe, in addition, nashauri pia hata madalali wa kilimo WASAJILIWE na wawe wanakuwa auditied. Ukienda Namibia tu hapo, wakulima ni matajiri but Tanzania wakulima ni masikini, ila maafisa wasiolima ndio wanakuwa matajiri pamoja na middle men.

Niseme wazi Serikali ya Tanzania inaendeshwa kihuni sana na serikali haisimamii haki za watanzania ipasavyo, ni yeyoye anaweza kuwa chochote. It is such a shame to be a Tanzanian.

Wizara ya Afya inahitaji mawaziri kama hawa, sio mawaziri wa kutoa matamko ya kisiasa kwenye Afya za wa Tanzania na kuhudhuria vikao.

hili ni Ombi kwa Waziri Mkuu , Kassim Kassim, the same study ifanyike kwenye upande wa dawa , huko kuna balaa kubwa na kuna inadequate supervision kuanzia wizara hadi kwenye mataasisi, na watanzania wanaangamia na bei za Dawa ni kubwa mno na wakati mwingine dawa hazina Quality na michezo ni ileile kama ya kilimo, na wauzaji hawawezi kufanya ubadhilifu pasipo kushirikiana na maafisa wandani.

Nimemuona JPM ndani ya bashe, anaeweza ku upload speech yake aweke.

Tanzania is a cup of shame , chanzo kikubwa cha haya yote TEUZI!
 
Yule
Niseme ukweli hawa ndio mawaziri wanaopaswa kuwa ofisini. Sio wale wa kuhudhuria mikutano na upigaji.

Natamani kuona hata nafasi za uwaziri ziwe ni through competitive interview, cream’Tanzania zipo, tatizo kubwa ni mifumo ya UTEUZI .

Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo, matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.


Bashe, in addition, nashauri pia hata madalali wa kilimo WASAJILIWE na wawe wanakuwa auditied. Ukienda Namibia tu hapo, wakulima ni matajiri but Tanzania wakulima ni masikini, ila maafisa wasiolima ndio wanakuwa matajiri pamoja na middle men.

Niseme wazi Serikali ya Tanzania inaendeshwa kihuni sana na serikali haisimamii haki za watanzania ipasavyo, ni yeyoye anaweza kuwa chochote. It is such a shame to be a Tanzanian.

Wizara ya Afya inahitaji mawaziri kama hawa, sio mawaziri wa kutoa matamko ya kisiasa kwenye Afya za wa Tanzania na kuhudhuria vikao.

hili ni Ombi kwa Waziri Mkuu , Kassim Kassim, the same study ifanyike kwenye upande wa dawa , huko kuna balaa kubwa na kuna inadequate supervision kuanzia wizara hadi kwenye mataasisi, na watanzania wanaangamia na bei za Dawa ni kubwa mno na wakati mwingine dawa hazina Quality na michezo ni ileile kama ya kilimo, na wauzaji hawawezi kufanya ubadhilifu pasipo kushirikiana na maafisa wandani.

Nimemuona JPM ndani ya bashe, anaeweza ku upload speech yake aweke.

Tanzania is a cup of shame , chanzo kikubwa cha haya yote TEUZI!
Yule Naibu Waziri wa Afya ndio hewa kabisa,anasifia sifia tu kulinda uteuzi

Viongozi waasifiaji ndio wanamkwamisha Rais
 
Niseme ukweli hawa ndio mawaziri wanaopaswa kuwa ofisini. Sio wale wa kuhudhuria mikutano na upigaji.

Natamani kuona hata nafasi za uwaziri ziwe ni through competitive interview, cream’Tanzania zipo, tatizo kubwa ni mifumo ya UTEUZI .

Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo, matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.


Bashe, in addition, nashauri pia hata madalali wa kilimo WASAJILIWE na wawe wanakuwa auditied. Ukienda Namibia tu hapo, wakulima ni matajiri but Tanzania wakulima ni masikini, ila maafisa wasiolima ndio wanakuwa matajiri pamoja na middle men.

Niseme wazi Serikali ya Tanzania inaendeshwa kihuni sana na serikali haisimamii haki za watanzania ipasavyo, ni yeyoye anaweza kuwa chochote. It is such a shame to be a Tanzanian.

Wizara ya Afya inahitaji mawaziri kama hawa, sio mawaziri wa kutoa matamko ya kisiasa kwenye Afya za wa Tanzania na kuhudhuria vikao.

hili ni Ombi kwa Waziri Mkuu , Kassim Kassim, the same study ifanyike kwenye upande wa dawa , huko kuna balaa kubwa na kuna inadequate supervision kuanzia wizara hadi kwenye mataasisi, na watanzania wanaangamia na bei za Dawa ni kubwa mno na wakati mwingine dawa hazina Quality na michezo ni ileile kama ya kilimo, na wauzaji hawawezi kufanya ubadhilifu pasipo kushirikiana na maafisa wandani.

Nimemuona JPM ndani ya bashe, anaeweza ku upload speech yake aweke.

Tanzania is a cup of shame , chanzo kikubwa cha haya yote TEUZI!
Bashe kichwa kimetulia sana. Hazina Kwa Taifa
 
Niseme ukweli hawa ndio mawaziri wanaopaswa kuwa ofisini. Sio wale wa kuhudhuria mikutano na upigaji.

Natamani kuona hata nafasi za uwaziri ziwe ni through competitive interview, cream’Tanzania zipo, tatizo kubwa ni mifumo ya UTEUZI .

Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo, matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.


Bashe, in addition, nashauri pia hata madalali wa kilimo WASAJILIWE na wawe wanakuwa auditied. Ukienda Namibia tu hapo, wakulima ni matajiri but Tanzania wakulima ni masikini, ila maafisa wasiolima ndio wanakuwa matajiri pamoja na middle men.

Niseme wazi Serikali ya Tanzania inaendeshwa kihuni sana na serikali haisimamii haki za watanzania ipasavyo, ni yeyoye anaweza kuwa chochote. It is such a shame to be a Tanzanian.

Wizara ya Afya inahitaji mawaziri kama hawa, sio mawaziri wa kutoa matamko ya kisiasa kwenye Afya za wa Tanzania na kuhudhuria vikao.

hili ni Ombi kwa Waziri Mkuu , Kassim Kassim, the same study ifanyike kwenye upande wa dawa , huko kuna balaa kubwa na kuna inadequate supervision kuanzia wizara hadi kwenye mataasisi, na watanzania wanaangamia na bei za Dawa ni kubwa mno na wakati mwingine dawa hazina Quality na michezo ni ileile kama ya kilimo, na wauzaji hawawezi kufanya ubadhilifu pasipo kushirikiana na maafisa wandani.

Nimemuona JPM ndani ya bashe, anaeweza ku upload speech yake aweke.

Tanzania is a cup of shame , chanzo kikubwa cha haya yote TEUZI!
Kwenye Kumtaja JPM hapo ndio umekuja kuharibu hoja yako.
 
Bado tunalima kwa jembe la mkono tangu enzi ya nuhu, mkokoteni bado ni nyenzo yetu ya uchukuzi, yaani tofauti yetu na nyani hatuna mikia mire
 
Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo,
Umechanganya issue nyingi hadi umenipoteza ila ngoja turudi hapa ambapo ndio kuna msingi ili tuwe ukurasa mmoja..., amegundua kuna upigaji gani na unapigwa vipi na ni makosa ya nani ? (kama sio Serikali yake) na nini kifanyike au anakifanya
matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.
Issue ni kwamba wanaolima wengi ni peasants na hawana nguvu wala hawataipata bila kuungana wao kwa wao na ku-form cooperatives..., bila hao so called walanguzi hizo debe mbili au tatu anazovuna huyu peasant angeishia kuzila mwenyewe au kuliwa na panya....

Tupo karne ambayo kilimo kinaweza kufanywa na wachache na kulisha nchi nzima (efficiency imeongezeka na manpower need kupungua) sasa ni vipi Bashe anaweza kuwawezesha hawa wahusika ili kunufaika na hio efficiency... By the way bora sasa wanalimishwa hata wanapata ujira kidogo kuliko serikali yao iliyowasahau hata hicho kidogo cha kununua gongo na kaniki wasingekipata
 
Niseme ukweli hawa ndio mawaziri wanaopaswa kuwa ofisini. Sio wale wa kuhudhuria mikutano na upigaji.

Natamani kuona hata nafasi za uwaziri ziwe ni through competitive interview, cream’Tanzania zipo, tatizo kubwa ni mifumo ya UTEUZI .

Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo, matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.


Bashe, in addition, nashauri pia hata madalali wa kilimo WASAJILIWE na wawe wanakuwa auditied. Ukienda Namibia tu hapo, wakulima ni matajiri but Tanzania wakulima ni masikini, ila maafisa wasiolima ndio wanakuwa matajiri pamoja na middle men.

Niseme wazi Serikali ya Tanzania inaendeshwa kihuni sana na serikali haisimamii haki za watanzania ipasavyo, ni yeyoye anaweza kuwa chochote. It is such a shame to be a Tanzanian.

Wizara ya Afya inahitaji mawaziri kama hawa, sio mawaziri wa kutoa matamko ya kisiasa kwenye Afya za wa Tanzania na kuhudhuria vikao.

hili ni Ombi kwa Waziri Mkuu , Kassim Kassim, the same study ifanyike kwenye upande wa dawa , huko kuna balaa kubwa na kuna inadequate supervision kuanzia wizara hadi kwenye mataasisi, na watanzania wanaangamia na bei za Dawa ni kubwa mno na wakati mwingine dawa hazina Quality na michezo ni ileile kama ya kilimo, na wauzaji hawawezi kufanya ubadhilifu pasipo kushirikiana na maafisa wandani.

Nimemuona JPM ndani ya bashe, anaeweza ku upload speech yake aweke.

Tanzania is a cup of shame , chanzo kikubwa cha haya yote TEUZI!
NAkuunga Mkono kwa 400%..
Huku Ndo kumeoza Sana na kama wakiweka Waziri mwenye Akili anaweza akalia Akifanya Study maana Upigaji si kwenye Dawa tu hata kwenye Uendeshaji wa Vituo na Hospitali kuna Madudu mengi sana
 
Katika Baraza lote la Mawaziri hakuna Waziri anayeweza kumfikia Mhe. Bashe. He is ranked as one of the best Cabinet Minister in Mama Samia's Government.
 
Back
Top Bottom