Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,431
- 4,505
Niseme ukweli hawa ndio mawaziri wanaopaswa kuwa ofisini. Sio wale wa kuhudhuria mikutano na upigaji.
Natamani kuona hata nafasi za uwaziri ziwe ni through competitive interview, cream’Tanzania zipo, tatizo kubwa ni mifumo ya UTEUZI .
Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo, matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.
https://m.youtube.com/watch?v=SewODa1TxLc&pp=ygURYmFzaGUgYnVuZ2VuaSBsZW8=
Bashe, in addition, nashauri pia hata madalali wa kilimo WASAJILIWE na wawe wanakuwa auditied. Ukienda Namibia tu hapo, wakulima ni matajiri but Tanzania wakulima ni masikini, ila maafisa wasiolima ndio wanakuwa matajiri pamoja na middle men.
Niseme wazi Serikali ya Tanzania inaendeshwa kihuni sana na serikali haisimamii haki za watanzania ipasavyo, ni yeyoye anaweza kuwa chochote. It is such a shame to be a Tanzanian.
Wizara ya Afya inahitaji mawaziri kama hawa, sio mawaziri wa kutoa matamko ya kisiasa kwenye Afya za wa Tanzania na kuhudhuria vikao.
hili ni Ombi kwa Waziri Mkuu , Kassim Kassim, the same study ifanyike kwenye upande wa dawa , huko kuna balaa kubwa na kuna inadequate supervision kuanzia wizara hadi kwenye mataasisi, na watanzania wanaangamia na bei za Dawa ni kubwa mno na wakati mwingine dawa hazina Quality na michezo ni ileile kama ya kilimo, na wauzaji hawawezi kufanya ubadhilifu pasipo kushirikiana na maafisa wandani.
Nimemuona JPM ndani ya bashe, anaeweza ku upload speech yake aweke.
Tanzania is a cup of shame , chanzo kikubwa cha haya yote TEUZI!
Natamani kuona hata nafasi za uwaziri ziwe ni through competitive interview, cream’Tanzania zipo, tatizo kubwa ni mifumo ya UTEUZI .
Evidence informed practice iliyofanywa na bashe through his findings imegundua kuna upigaji over bilions of money kwenye sector ya kilimo kwa kushirikiana na maafisa wa halmashauri na taasisi za kilimo, matokeo yake wananchi wanalimia watu ambao wanatajirika wao wanabaki palepale.
https://m.youtube.com/watch?v=SewODa1TxLc&pp=ygURYmFzaGUgYnVuZ2VuaSBsZW8=
Bashe, in addition, nashauri pia hata madalali wa kilimo WASAJILIWE na wawe wanakuwa auditied. Ukienda Namibia tu hapo, wakulima ni matajiri but Tanzania wakulima ni masikini, ila maafisa wasiolima ndio wanakuwa matajiri pamoja na middle men.
Niseme wazi Serikali ya Tanzania inaendeshwa kihuni sana na serikali haisimamii haki za watanzania ipasavyo, ni yeyoye anaweza kuwa chochote. It is such a shame to be a Tanzanian.
Wizara ya Afya inahitaji mawaziri kama hawa, sio mawaziri wa kutoa matamko ya kisiasa kwenye Afya za wa Tanzania na kuhudhuria vikao.
hili ni Ombi kwa Waziri Mkuu , Kassim Kassim, the same study ifanyike kwenye upande wa dawa , huko kuna balaa kubwa na kuna inadequate supervision kuanzia wizara hadi kwenye mataasisi, na watanzania wanaangamia na bei za Dawa ni kubwa mno na wakati mwingine dawa hazina Quality na michezo ni ileile kama ya kilimo, na wauzaji hawawezi kufanya ubadhilifu pasipo kushirikiana na maafisa wandani.
Nimemuona JPM ndani ya bashe, anaeweza ku upload speech yake aweke.
Tanzania is a cup of shame , chanzo kikubwa cha haya yote TEUZI!