Tokyo40
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,065
- 1,925
Kitendo hiki cha serikali kinanishangaza sana:
1. Tuna uhaba wa walimu wa Sayansi kama 27,000.
(Prof. Sifuni Mchome, Wizara ya Elimu, 19/12/2015, The Citizen).
2. Walimu wageni wa nchi jirani wanakuja kuziba pengo.
3. Tunawatoza walimu wageni $2500 kufanya kazi hizo.
4. Walimu wa nchi jirani 3400 wamerudi kwao. Waajiri wao hawana uwezo. Pengo linazidi.
Basically we shot ourselves in the foot!
1. Tuna uhaba wa walimu wa Sayansi kama 27,000.
(Prof. Sifuni Mchome, Wizara ya Elimu, 19/12/2015, The Citizen).
2. Walimu wageni wa nchi jirani wanakuja kuziba pengo.
3. Tunawatoza walimu wageni $2500 kufanya kazi hizo.
4. Walimu wa nchi jirani 3400 wamerudi kwao. Waajiri wao hawana uwezo. Pengo linazidi.
Basically we shot ourselves in the foot!