Baraza la Mawaziri 2020 Halina Ukanda, Udini wala Ukabila!

Kuna tathmini ya kawaida sana katika Baraza jipya!!

Wanawake 4
Wanaume 19.

Waislam 3
Wakristo 20.

Sukuma na kanda ya ziwa nusu ya mawaziri
Wanawake enzi za JK ilifika 40%
Leo 4%.
Mawazo ya kizamani,nilitegemea uchambue kuwa wazir huyu hafai ukimlinganisha na mtu mwingine
 
Una hoja, lkn pia una viroja.

Unaona sio haki Phd holder kulipwa mshahara sawa na std 7 bungeni,.. kwani hiyo Phd ni ya ubunge!?

Kama mtu anataka 'atazamwe zaidi' kwa sababu ya vyeti vyake si abaki tu kwenye taaluma yake!
Well said, uncgeweka tu hoja hapa bila mihemko mkuu, tehis is JF, kila mtu anatoa hoja and learn from one anotheor, no hate at all
 
Mh Magufuli kateua baraza la mwaziri, 05-12-2020 mida ya jioni kama alivyotabiri kigogo2014 lakini watu wamelipa kisogo na habari za simba na Plateau zimevuma kuliko Baraza Lenyewe.

Je, watanzania wamechoka na kuona hakuna jipya au?

1. Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Madini Dotto Biteko
12.Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika


MANAIBU WAZIRI:
1.Viwanda na Biashara-Kigahe Exaud Silaoneka
2.Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi-Dkt.Angelina Mabula
3.Ofisi ya Waziri Mkuu, kazi, Vijana na Ajira-Katambi Pascal Patrobas
4.Mambo ya ndani ya nchi-Hamis Hamza Hamis
5.Fedha na Mipango-Mwanaidi Ali Hamis
6.Elimu Sayansi na Teknolojia-Kipanga Juma Omary
7.Ofisi ya Rais TAMISEMI-Dkt Festo John Lugange
8.Nishati-Byabato Stephen Mjwahuka
9.Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala bora- Ndejembi Deogratias John
10.Mawasiliano na Telnolojia ya habari-Mhandisi Kundo Andrea Mathew
11.Mifugo na Uvuvi- Gekul Pauline Philipo
12.Madini-Ndulane Francis Kumba
13.Ujenzi -Mhandisi Msongwe Godfrey Kasekenya
14.Ofisi ya Waziri mkuu wenye Ulemavu-Ummy Hamis Nderiananga @⁨Ummy Ndeliananga⁩
15.Maji-Mhandisi Maryprisca Wilfred Mahundi
16..Habari, Umaduni,Sanaa na Michezo-Abdalah Ulega
17.TAMISEMI Silinde David Ernest
18.Kilimo-Husein M.Bashe
19.Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia, wazee na watoto Dkt Godwin Molel ⁩
20.Katiba na Sheria Pinda Geofrey Mizengo
21.Muungano na Mazingira-Mwita Waitara
22.Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki-William Tate Ole Nasha
23.Maliasili na Utalii - Mary Francis Masanja


KANDA YA ZIWA -MAWAZIRI
Kutoka kanda ya ziwa wapo mawaziri 10 kati ya 23 Tanzania nzima, hapa HAKUNA UKANDA.

MANAIBU:-
wachache sana , ha ha ha

DINI:
Nchi yetu si ya udini na si vyema kuzungumzia maana kila mtu ana dini yake.
Kuna akina John lakini waislamu na Ramadhani lakini mkristo kama alivyokuwa jaji agustino ramadhani
Hesabu hapo wana kanda ya rubondo ni wangapi?
 
Ndio si mbunge wa ccm aliyepita bila kupingwa hivyo anastahili!!! Ccm oyeeee!
Ukimpa Babu tale uwaziri yale anayofanya diamond platinumz ndiyo yatafanywa na Tale, kuzalisha wanawake na kuwadhalilisha kisha kuwaacha, maana Dai karidhi tabia kwa meneja wake
 
hiii nchiii bado itadhidi na itabaki kutawaliwa na wachagga kimaendeleo na kielimu pia maswala ya uwaziri sijui nini haiumizi watu kama pesa inaingia it enough
 
you miss a point dude, " CHADEMA" inataka utawala wa majimbo na si ukanda kama wewe akili zako matope unavyodhani, MAJIMBO nchi za wenzetu imewaletea maendeleo lakini UKABILA umeleta sjhida kwenye CCM.

Usitake kujificha kwenye ukanda na ukabila kuizodoa CHADEMA badala ya CCM iliyoongoza toka uhuru na hakuna kitu imefanya zaifi yakumfanya mtanzania kuwa maskini zaidi
Hii ni another example of pure rhetoric na parochial ya UCHADEMA as has been propounded by Lissu as directed by Bob and Company. By the way, mnaendeleaje na ukimbizi!?
 
Back
Top Bottom