martin mwamlima
Senior Member
- Oct 31, 2013
- 158
- 46
Mawazo ya kizamani,nilitegemea uchambue kuwa wazir huyu hafai ukimlinganisha na mtu mwingineKuna tathmini ya kawaida sana katika Baraza jipya!!
Wanawake 4
Wanaume 19.
Waislam 3
Wakristo 20.
Sukuma na kanda ya ziwa nusu ya mawaziri
Wanawake enzi za JK ilifika 40%
Leo 4%.