Barabara ya Njombe Makete sasa imekumbukwa

Kwa upande wa barabara magu namkubali sana toka aingie magogoni barabara nyingi sana zimewekwa sawa na zinaendelea kuwekwa sawa, kuanzia zile za mitaa hadi zile za wilaya-wilaya na hata mkoa kwa mkoa.
Ni jambo jema kuikumbuka hii Njombe-Makete road maana imetelekezwa toka enzi za maisha bora kwa kila fisadi kitu ambacho kimekuwa na shida tupu kwa mtu wa makete kuja Njombe mjini, ama watu wa njombe na viunga vyake kwenda makete
 
Sitoisahau hiyo barabara, ilinipa wakati mgumu sana wakati nikiwa chuo cha ualimu Tandala, jambo jema sana hilo hasa ukizingatia Ikonda kuna hospitali kubwa itakayokua inatoa huduma kwa wepesi kwa watu kutoka maeneo mbalimbali hasa NJOMBE
Kweli mkuu nilifika ktk hospital ya Ikonda ni moja ya hopital bora hapa nchini kuanzia vifaa tiba mpaka wafanyakazi hapo wanafanya kwa weledi wa hali ya juu wodi zao za wagonjwa zinapendeza sana Mungu awabariki wamisionary kwa huduma zao ktk sekta ya afya
 
Niippngeze serikali kwa kuikumbuka barabara hii ambayo inaunganisha Njombe na makete,Kwa miaka mingi hawa wakinga wamekua wakipata shida sana kusafiri kutoka makete hadi njombe kutokana na ubovu wa barabara.

Naona tenda imesha tangazwa pamoja na barabara ya ludewa Njombe.


The Government of the United Republic of Tanzania has allocated funds for the operation of the Tanzania National
Roads Agency (TANROADS) during the FY 2016/17. It is intended that part of the proceeds of the fund will be used
to cover eligible payment under the contract for the Upgrading of Njombe-Ndulamo-Makete Road (107.4 Km) to
Bitumen Standard, Lot 2: Moronga-Makete Section (53.5km), Tender No. AE/001/2016-17/HQ/W/06.
Hongereeni sana!!! kazi IMEBAKI ILEJE sijui ni lini watakumbukwa
 
Ni hatua nzuri, kwa kuanzia Bitumen standard sio mbaya, Nipongeze nia ya serkali kama ni ya kweli. Nitawapongeza zaidi pindi mradi utakapotekelezwa, Nimepita Barabara hizo Nov 2016 zina hali mbaya sana, na zinawagharimu sana wananchi hususani muda na pia wamiliki wa vyombo vya moto (Njombe - Ludewa nilitumia 4 hrs, Njombe - Makete 3.5 hrs)

Niitakie serikali utekelezaji mwema
Kwa kuanzia bitumen standard sio mbaya? Bitumen ni lami.....labda hujaelewa
 
Ndio hii ambayo kwenye dicumentary ya filikunjombe anaonekana deo(rip) akilina kwa majembe kuchonga bara bara
 
Ndio hii ambayo kwenye dicumentary ya filikunjombe anaonekana deo(rip) akilina kwa majembe kuchonga bara bara
watu wa Njombe baada ya kupotelewa na filikunjombe mtumieni vizuri mbunge wa makete, yupo vizuri na pia ni mwenyeji kidogo serikalini. Kuna barabara nyingi ambazo hazitajwi mfano, makambako - lupembe- morogoro, Nyingine ni ile ya ilembula, kidugala- imalilo hadi ikonda . nyingine. ni makete - kitulo mbeya, nyingine ni makete - ludewa - songea bila kupita njombe,

Makinda pia bado ana ushawishi naamini mkiwatumia vizuri wanaweza wasaidia bila kumsahau Eng Rwenge.
 
Kama Mimi mwenyeji wa Ludewa nafurahia sana. Zamu yetu Nyanda za juu kusini hahahhh na kazskazini pia Bwana ametuona.
 
Keki ya Taifa inagawanya ipasavyo. Wale jamaa zetu wa kule tulieni tuijenge Mama Tanzania.
 
Back
Top Bottom