Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,473
- 4,816
Bara la Afrika litaendelea kuitwa Masikini, Shamba la bibi etc, mpaka pale litakapotunga na kutekeleza Sheria ya kunyonga Wahujumu uchumi
Bara la Afrika limekuwa likitupiwa lawama za kila aina kwa madai ya kuwa linaonekana kama halina watu makini, nchi zake kuwa na maisha ya duni na mengineyo mengi
Pia soma Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025
Lawama na fedhela zote hizi zinasababishwa na kukosekana kwa viongozi wenye uwezo wa kusimamia Sheria.
Sheria nyingi zimetungwa tangu zamani lakini utekelezaji wake ni hafifu
Umasikini wa Afrika unasababishwa na kuwepo kwa viongozi Serikalini wenye tabia ya kuhujumu miradi ya Serikali matokeo yake nchi zinakosa fedha za kujiendesha nakuanza kujiingiza kwenye mikopo inayosababisha madeni makubwa yasiyolipika
Ili bara la Afrika liweze kupiga hatua kubwa kama bara la Ulaya lazima lianze kutekeleza Sheria ya kunyonga Wahujumu uchumi kinyume na hapo litaendelea kudharaulika na mataifa makubwa
Bara la Afrika limekuwa likitupiwa lawama za kila aina kwa madai ya kuwa linaonekana kama halina watu makini, nchi zake kuwa na maisha ya duni na mengineyo mengi
Pia soma Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025
Lawama na fedhela zote hizi zinasababishwa na kukosekana kwa viongozi wenye uwezo wa kusimamia Sheria.
Sheria nyingi zimetungwa tangu zamani lakini utekelezaji wake ni hafifu
Umasikini wa Afrika unasababishwa na kuwepo kwa viongozi Serikalini wenye tabia ya kuhujumu miradi ya Serikali matokeo yake nchi zinakosa fedha za kujiendesha nakuanza kujiingiza kwenye mikopo inayosababisha madeni makubwa yasiyolipika
Ili bara la Afrika liweze kupiga hatua kubwa kama bara la Ulaya lazima lianze kutekeleza Sheria ya kunyonga Wahujumu uchumi kinyume na hapo litaendelea kudharaulika na mataifa makubwa