Bandari ya Dar yatangazwa Bandari bora Afrika Mashariki mwaka 2015

Ni kama wale wateule walivyoungana na kwenda kumpa nanihii tuzo, the motive behind the prize was kushukuru kupewa favour fulanifulani, likewize hapa kuna maswali ya kujiuliza, kama makontena maelfu yalipita free, watashindwaje kuipa promo hiyo bandari
Mkuu kwa mwenye taarifa ya uhakika na yale magari ya ccm land cruiser zilizo ingizwa kabla ya uchaguzi wa 2010 zililipiwa kodi halali?
 
Back
Top Bottom