BAKWATA Arusha yamfanyia Dua Maalumu RC Makonda Ili aweze Kufanikiwa katika Malengo yake ya Uongozi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,044
143,778
Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ili aweze kufanikiwa kwenye programu yake maalum inayoanza kesho Mei 08.2024.

Makonda atakuwa na siku tatu maalum za kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa Arusha kuanzia kesho Mei 08 hadi 10.2024 zoezi ambalo litafanyika kwenye ofisi za Mkuu wa mkoa hio mjini Arusha.

Sheikh Shaaban Bin Juma amempongeza Makonda kwa maono yake ya kuja na programu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi, akisema programu hiyo ni sehemu ya kuhakikisha Arusha inakuwa na amani, usalama na matumaini ya kutosha kwa wananchi na wageni wanaofika mkoani humo.

makonda.jpg
 
Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ili aweze kufanikiwa kwenye programu yake maalum inayoanza kesho Mei 08.2024

Makonda atakuwa na siku tatu maalum za kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa Arusha kuanzia kesho Mei 08 hadi 10.2024 zoezi ambalo litafanyika kwenye ofisi za Mkuu wa mkoa hio mjini Arusha

Sheikh Shaaban Bin Juma amempongeza Makonda kwa maono yake ya kuja na programu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi, akisema programu hiyo ni sehemu ya kuhakikisha Arusha inakuwa na amani, usalama na matumaini ya kutosha kwa wananchi na wageni wanaofika mkoani humo

Dah
Dah
 
Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ili aweze kufanikiwa kwenye programu yake maalum inayoanza kesho Mei 08.2024

Makonda atakuwa na siku tatu maalum za kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa Arusha kuanzia kesho Mei 08 hadi 10.2024 zoezi ambalo litafanyika kwenye ofisi za Mkuu wa mkoa hio mjini Arusha

Sheikh Shaaban Bin Juma amempongeza Makonda kwa maono yake ya kuja na programu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi, akisema programu hiyo ni sehemu ya kuhakikisha Arusha inakuwa na amani, usalama na matumaini ya kutosha kwa wananchi na wageni wanaofika mkoani humo

Jo, hili tukio halitoshi kuzima mjadala wa Muungano,
Rudini studio muandae lingine kubwa zaidi,
 
NJAA MBAYA SANA,MUISLAM UNAHIMIZWA ILI UFANYE IBADA ZAKO KWA UHAKIKA YAPASWA KUUKIMBIA UMASKINI,AMA SIVYO UTAANGUKIA KWENYE UDHALILI NA UNYONGE.
 
Back
Top Bottom