BAJETI: Yaliyojiri, Uwasilishaji wa mapendekezo kuhusu makadirio ya mapato na matumizi 2017/18

Watanzania wamechoshwa na bajeti hewa. Wanadanganya bajeti ni 29 trillions lakini pesa inayotoka ni 34% tu. Bajeti hii ni 31.6 trillions 9.5 trillions kati ya hizo inakwenda kulipa deni la Taifa. Sijui hadi mwishoni mwa June mwakani watakuwa wametoa asilimia ngapi.
Duh! Noma sana !
 
Naona nyumbuz wanajipa matumaini, sio vibaya kwakwel!
Tu assume ngosha kachemka kuendesha nchi, je kwa mtaji huo tumpe boss la mafisadi kama mbadala?!
 
Bei ya balimi kupandishwa ghafla sijui walevi mtakimbilia wapi??
 
Naona nyumbuz wanajipa matumaini, sio vibaya kwakwel!
Tu assume ngosha kachemka kuendesha nchi, je kwa mtaji huo tumpe boss la mafisadi kama mbadala?!
Kwani mtoa mada ni nani... Haya twambie huko mtaani kwenu hali ikoje ya ufatiliaji wa bajeti live
 
Tangu wakataze bunge live.hata gazeti linaloandika habari za bunge sisomi.
Wao wakutuita sisi wavivu tunapenda kuangalia bunge kuliko kufanya kazii.NIMEKOMAAA.
 
Atakaeng'amua kuboreka kwa maisha aweke hapa.... Hakuna nnachoelewa hapa...
 
Hii shangwe ,vifijo, na vigelegele maana yake nini!?! CCM kwa unafiki siwawezi
 
IMG-20170608-WA0022.jpg
Habari wadau!
Naomba tutoe mwelekeo wa bajeti kwa kufuta kodi ya kila mwaka ya wenye magari Road licence na kuamua kuihamishia kwenye mafuta:

Sasa inamaana anayetumia hata jenereta nae inamla kinyume nyume.

Inamaana bei ya mafuta ikipanda kila kitu kinachohusi usafiri kitapaa sasa kwa hari ya kwaida atakayeumia ni mwananchi wa chini sana ambaye kipato chake ni chakuunga unga.

Sasa tutarajie kuumizwa kwa wananchi kwa kupanda gharama za maisha na mfumuko wa bei kuongezeka huku kukiwa hakuna nyongeza ya mishahara.
 
Back
Top Bottom