Bajeti ya 2018/2019 haikuwa na fungu la kununulia korosho

Kwenye hi
Kwa wajuzi wa mambo, fedha za kununua korosho zitatoka kwenye fedha za maendeleo au zitatoka kwenye matumizi ya serikali?

Je, zikishatoka na kutumika ni Nani anakuja kukagua kama tumepata hasara au faida?Je, korosho inaweza kuingia kwenye bajeti ya mazao ya chakula?

Tuelimishane
Kwenye hiyo bajeti kuna fungu la kuibua MV Nyerere
iliyozama kwenye ziwa Victoria kule ukerewe?
Nadhani mambo mengine inabidi kutumia
mfuko wa maafa.
 
Kwa wajuzi wa mambo, fedha za kununua korosho zitatoka kwenye fedha za maendeleo au zitatoka kwenye matumizi ya serikali?

Je, zikishatoka na kutumika ni Nani anakuja kukagua kama tumepata hasara au faida?Je, korosho inaweza kuingia kwenye bajeti ya mazao ya chakula?

Tuelimishane

Soma ujue namna BoT inavyoweza ku-regulate uchumi wa nchi na namna inavyoweza ku-control inflation (ukiondoa case ya hyperflation ambapo nchi huwa inalazimika ku-print currency mpya). Inavyoweza kununua au kuuza bonds n.k. Anyway siyo mtaalamu sana ila Serikali haiwezi kuongea just from the air!
 
Wafanya biashara wangezipata wapi,kama ni kweli serikali haiwezi kuzipata?
Muda umefika wafanya biashara mjue mkulima naye ana damu
siyo kila siku ni kumnyonya mpaka basi,
Hela ya kinunulia korosho ni nyingi sana ni zaidi ya million $350 kwa msimu serikali haina hiyo pesa labda wasitishe mishahara ya watumishi wa umma kwa miazi kadha..... Ila tunahitaji mipango kwanza kutekeleza hilo, uchumi hauwedeshwi kwa matukio plz.
 
Kwa wajuzi wa mambo, fedha za kununua korosho zitatoka kwenye fedha za maendeleo au zitatoka kwenye matumizi ya serikali?

Je, zikishatoka na kutumika ni Nani anakuja kukagua kama tumepata hasara au faida?Je, korosho inaweza kuingia kwenye bajeti ya mazao ya chakula?

Tuelimishane
Mwisho wa kutunisha misuli , wakulima walikuwa wako vizuiri mpaka sirikali ilipoamua kuiba hela zao
 
KWANI UMEAMBIWA BAJETI NI MSAHAFU, WANAWEZA KUTRANSIFA HELA KUTOKA VIVUNGU VINGINE EG.PERDIEMS,
 
Kwa wajuzi wa mambo, fedha za kununua korosho zitatoka kwenye fedha za maendeleo au zitatoka kwenye matumizi ya serikali?

Je, zikishatoka na kutumika ni Nani anakuja kukagua kama tumepata hasara au faida?Je, korosho inaweza kuingia kwenye bajeti ya mazao ya chakula?

Tuelimishane
Nipo pesa zetu za ndani ambazo tunaweza kununulia korosho.
 
Pesa za dharura atoe wapi wakati kila dharura ikitokea wanatembeza bakuli? Tetemeko Bukoba walitembeza bakuli, ajali Ukara waliomba, ajali arusha nk. Tena wanaomba alafu wanakula wao. Huyu jamaa hana lolote anajitutumua tu na hapa kwny korosho ndo kapatikana.
kapatikana vipi?,mbona kesi imekwisha?
Wanunuzi wakikata serikali itanunua tu
 
Hatari sana yaani ni bora wakulima wapate hasara kuliko serikali kununua korosho. Hainingii akilini hata kidogo, watu kwanza dogma baadaye
Vipi kwa wakulima wa mahindi wanao uza mahindi kihasara sana gunia kati ya sh. 18,000 hadi 20,000 tu??
 
Back
Top Bottom