emotional torture na torutee ya kisaikolojia...huna kosa lolote kwanza mke w=ni wewe ndo utaishi nae,,,,hili sual alimetokea kwa mdogo wangu eti hawataki aoe wa kaskazini kwenye baridi kulee.....na wakati huyo mtu ndo wameendana persinality na wamekuwa perfect match....sasa huwa wazazi utasikia sitahudhuria harusi au sikutambui kama mwanangu....hizi mambo ni fake na tatizo sio wewe ni wao.....Sio vizuri kufanya harusi alafu baba yako asihudhurie, ni bora nisifanye tu