bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
jamaa baada ya kukopy namba ya baba mwenye nyumba kakopy namba ya baba mkwe katuma laki mbili na baba mkwe kashajibu asante mkwe wangu.... Baba mwenye nyumba bado anadai pesa yake na jamaa hana kitu vipi ungekuwa wewe ungedai pesa irudi kwa baba mkwe ili ulipe kodi kwa mwenye nyumba?