Mateja M.G Yango
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 613
- 1,093
Cha kushangaza ttcl minara yake haina aviation lights wala haijapakwa rangi.
Majengo yote marefu yanapaswa kua na hizo taa ambazo zinaitwa aircraft warning lights ni high intensity lighting devices,hutumika kama collision avoidance measures.Mbona kuna majengo marefu pengine kuliko hata minara ya simu lakini haina hizo taa na minara inayo?
Naomba ufafanuzi zaidi juu ya taa hizo.
Upo sahihi kabisa,tatizo kuna watu wakiwa wanadiscuss vitu kama hivi wao watatizama majengo ya bongo tu au minara ya bongo tu na kujenga hoja..!!Inaitwa NAVIGATION LAMP (LIGHT)
kwa ajili ya tahadhari kwa vyombo vya anga hasa Helicopter wakati wa usiku naa huwa haziwekwi kwenye minara ya simu tu hata kwa nchi za Ughaibuni huwekwa kwenye majengo marefu... mfano Trump tower, WTC au Eifel tower kule Paris..
ni AVIATION=usafir wa anga na NAVIGATION=usafir wa majinInaitwa NAVIGATION LAMP (LIGHT)
kwa ajili ya tahadhari kwa vyombo vya anga hasa Helicopter wakati wa usiku naa huwa haziwekwi kwenye minara ya simu tu hata kwa nchi za Ughaibuni huwekwa kwenye majengo marefu... mfano Trump tower, WTC au Eifel tower kule Paris..
Inatakiwa hivyo! For security purpose, mfano ndege inapita maeneo hayo inakua rahisi kujua kua kuna mnara. Na taa nyekundu zinatumika kwa vile ni rahisi kua dectected. Ndo maana unaona sehemu za hatari wanapenda sana kutumia rangi nyekundu na nyeupe. Hizi rangi zinaonekana zaidi. Zebra cross wanatumia white colorNimejiuliza hili swali nikashindwa kupata jibu maana kwa asilimia kubwa ya minara inayotuzunguka lazma kule juu kileleni huwa kuna taa nyekundu nyingine zinawaka na kuzima nyingine zinawaka moja kwa moja na rangi ni hiyo hiyo nyekundu sijawahi ona taa za rangi nyingine.
Hivi hii hua ni sheria za minara au zinakuwa na maana gani?
Naomba kujuzwa.
Ile wakijulikanwa na TCRA ni case kubwa sanaJe na ule ambayo haina hiyo taa kabisa hua wanajuaje
As long as inatwa TowerHaa!!ndo naipata hii kwako mkuu kumbe hadi majengo marefu??
Na utawapata wengiKama ni hivyo watupe kazi ya kukagua minara isiyo na taa juu
Hiyo n.k ulimaanisha wazee wa ungoNafikiri hiyo huwa mahususi kwa ajili ya muonekano(visibility) haswa na vyombo vinavyotumia anga Kama ndege n.k.