johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 98,238
- 172,469
Mwaibula wa Daladala ndio 😁Mkuu, unazungumzia Mwaibula yule aliyekuwa anamiliki mabasi mareeeefu ya Mbagala??
Mwaibula wa Daladala ndio 😁Mkuu, unazungumzia Mwaibula yule aliyekuwa anamiliki mabasi mareeeefu ya Mbagala??
Hata makamu wake anatokea BurundiKuna huyu mzanzibar Samia anacheo kikubwa tu Kwa Tanganyika yetu,huyu amekuwa na mamlaka yakuamuru watanganyika wauawe au wapewe kesiza uhaini
Mwaibula alienda Zim kufuata nini mkuu?? Alikuwa jaji au VC wa University of Harare?Mwaibula wa Daladala ndio 😁
Mtaalamu wa Mambo ya biasharaMwaibula alienda Zim kufuata nini mkuu?? Alikuwa jaji au VC wa University of Harare?
Solomon Liani ha kuwa mkenya. Tulikuwa na majadiliano kutoka nje ya nchi kwa sababu hat ukubwa na watanganyika wenye elimu ya sheria wa kutosha. Jaji mkuu wa kwanza alikuwa raia TrinidadKuna Mzee mmoja aged almost 82 by now, aliniambia kuwa baada ya uhuru Tanzania/Tanganyika ilikuwa na majaji kutoka Malawi pamoja na nchi zingine za commonwealth.
Vile vile inasemekana tuliwahi kuwa na IGP somebody Solomon Lihani, inasemekana kuwa ni wa Kabila la Waluya la huko Kenya.
Je, watanzania gani waliwahi kuwa watumishi wa umma katika Mataifa Mengine punde baada wa uhuru wa hizo nchi husika??
Kuna mtanzania aliwahi kuwa IGP Malawi?? Au hata Jaji??