ecolizer baba
Member
- Sep 29, 2010
- 88
- 310
Gazeti la Tanzanite la leo limeanza mashambulizi Rasmi dhidi ya Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. January Makamba.
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha
Gazeti hili la Cyprian Musiba linadai January katoweka na Bilioni moja za NSSF.
Nimejiuliza kuwa je baada ya Nape na Mwigulu hii ni zamu ya January??
Naomba kuwasilisha