Baada ya muda mrefu bila mahusiano nikawa nimempata Binti mzuri mtoto wa 2000 ila nimegundua ni mtu wa tamaa sana

sergio 5

JF-Expert Member
May 22, 2017
9,319
10,564
Baada ya kukaa mda MREFU Sina mahusiano nikaamua ngoja nitest skills zangu wazee
Nikamtokea Binti mzuri mtoto wa 2000 akakubari ila nilipomsoma nikaja gundua ni mtu wa tamaa sana

He only check and call me akiwa na shinda na pesa na Mimi tu

Kuna siku tupo nae matembezi Kwa mguu alisema nimsindikize sehemu tukawa tunaenda Cha ajabu akapita msela wa boda mbele akamuita demu akaenda panda boda akaniacha niliumia wazee sema sikumwambia Toka siku iyo nikawa namuazibu Kwa hisia tu

Nikawa naongozana nae anapotaka ila nikikutana na pisi Kali naizingatia na kusifia mno ikawa namuona ananuna nuna sasa Leo pia tupo matembezini nikaona pisi nikaisifia ikabidi akasirike aanza kufoka eti hapendi tabia yangu nikamku,busha siku ile kaniacha na boda then nikarudi zangu gheto kupiga

Apo NIMEPIGAJE wazee
 
The problem is You are asking alot for those creatures.

Next time u meet fine girl like that Wewe focus na Kumpa vibe na kumla tu, Mengine yeye ndo atakua anakunyooshea.
 
Hakuna mapenzi kati yenu kwa sababu hata hamuheshimiani.

Kuhusu pesa ndio wengi walivyo siku hizi
Ni kweli mkuu hakuna heshima,mi kuna mmoja unakuta kaweka stuts eti #we baba ako unamuheshimu lkn kuna mtt wa afu mbili anamuambia "wakati mwingine uwe unatumia akili basi
 
Baada ya kukaa mda MREFU Sina mahusiano nikaamua ngoja nitest skills zangu wazee
Nikamtokea Binti mzuri mtoto wa 2000 akakubari ila nilipomsoma nikaja gundua ni mtu wa tamaa sana

He only check and call me akiwa na shinda na pesa na Mimi tu

Kuna siku tupo nae matembezi Kwa mguu alisema nimsindikize sehemu tukawa tunaenda Cha ajabu akapita msela wa boda mbele akamuita demu akaenda panda boda akaniacha niliumia wazee sema sikumwambia Toka siku iyo nikawa namuazibu Kwa hisia tu

Nikawa naongozana nae anapotaka ila nikikutana na pisi Kali naizingatia na kusifia mno ikawa namuona ananuna nuna sasa Leo pia tupo matembezini nikaona pisi nikaisifia ikabidi akasirike aanza kufoka eti hapendi tabia yangu nikamku,busha siku ile kaniacha na boda then nikarudi zangu gheto kupiga

Apo NIMEPIGAJE wazee
Umepiga kama pele . Mwanaume lazima usifie uumbaji ata kama demu/mkeo hapendi shauri yake
 
Baada ya kukaa mda MREFU Sina mahusiano nikaamua ngoja nitest skills zangu wazee
Nikamtokea Binti mzuri mtoto wa 2000 akakubari ila nilipomsoma nikaja gundua ni mtu wa tamaa sana

He only check and call me akiwa na shinda na pesa na Mimi tu

Kuna siku tupo nae matembezi Kwa mguu alisema nimsindikize sehemu tukawa tunaenda Cha ajabu akapita msela wa boda mbele akamuita demu akaenda panda boda akaniacha niliumia wazee sema sikumwambia Toka siku iyo nikawa namuazibu Kwa hisia tu

Nikawa naongozana nae anapotaka ila nikikutana na pisi Kali naizingatia na kusifia mno ikawa namuona ananuna nuna sasa Leo pia tupo matembezini nikaona pisi nikaisifia ikabidi akasirike aanza kufoka eti hapendi tabia yangu nikamku,busha siku ile kaniacha na boda then nikarudi zangu gheto kupiga

Apo NIMEPIGAJE wazee
Jifanye sio wewe uliyeandika huu uzi!
Kisha usome ... kuna kitu utagundua mkuu!
 
Baada ya kukaa mda MREFU Sina mahusiano nikaamua ngoja nitest skills zangu wazee
Nikamtokea Binti mzuri mtoto wa 2000 akakubari ila nilipomsoma nikaja gundua ni mtu wa tamaa sana

He only check and call me akiwa na shinda na pesa na Mimi tu

Kuna siku tupo nae matembezi Kwa mguu alisema nimsindikize sehemu tukawa tunaenda Cha ajabu akapita msela wa boda mbele akamuita demu akaenda panda boda akaniacha niliumia wazee sema sikumwambia Toka siku iyo nikawa namuazibu Kwa hisia tu

Nikawa naongozana nae anapotaka ila nikikutana na pisi Kali naizingatia na kusifia mno ikawa namuona ananuna nuna sasa Leo pia tupo matembezini nikaona pisi nikaisifia ikabidi akasirike aanza kufoka eti hapendi tabia yangu nikamku,busha siku ile kaniacha na boda then nikarudi zangu gheto kupiga

Apo NIMEPIGAJE wazee
Jioni ya leo kuna vi thread vya kupunguzia machungu ya foleni 😅
 
Back
Top Bottom