Baada ya mshahara kuingia leo 15:00hrs nimeangalia video hii nimejisikia vibaya

usiseme wacha kazi ww unajua anafanya kazi gani,hujui huyo ndo anaelimisha mwanao hadi unatembea kifua mbele na kujitangaza kwa rafiki zako kuwa mwanangu kichwa kawapiga one form six!
 
Huku hapo jamaa analipa 993,360 kwa mwaka hiyo direct tax bado indirect tax za kumwaga kuwa mtumishi wa umma Tanzania uvumilivu wake ni zaidi ya kuwa chama cha upinzani
Wafanyakazi wanafurahi pale wafanyabiashara wanapogoma kulipa kodi na kufunga maduka yao

Kiukweli hakuna mlipa kodi mzuri hapa Tanzania kama mfanyakazi wa serikali,kwasababu hana uwezo wa kuomba hata apunguziwe kodi
 
Nilikuwa namtetea sana sana lakini kwa sasa hapana, Elimu, uzoefu na maarifa yangu yatakuwa ni bure kabisa nikiendelea kumtetea kwa sasa.

Nakushukuru sana kwa kulitambua hili ndugu, tunapotumia akili zetu tunapata weleed mkubwa sana
 
Back
Top Bottom