Baada ya maandamano nchini Kenya hali ndio hivyo ilivyo

wakati mwingine maandamano ya wafrika huwa hayana ujumbe maalumu walioubeba waandamanaji bali ujumbe wa maandamano huwa kwa wale walioko maofisini , na hawa walioko mababarani huwa ni mashabiki tu
 
kuna wapinzani wakiwepo ndani ya serikali hawafanyi yanayotakiwa lakini wakishatoka nje ya serikali ndipo utasikia wanadai haki ya kitu fulani.......raila alikuwa ndani ya uongozi serikalini,chini ya serikali ya umoja wa kitaifa hili swala la "TUME HURU YA UCHAGUZI" alishindwa nini kulitafutia ufumbuzi akiwa ndani ya serikali??
 
hivi mbona nchi za wenzetu wanaandamana kwa mambo makubwa kuliko hata haya lakn kunakua hakuna fujo fujo kama hz?
 
hivi mbona nchi za wenzetu wanaandamana kwa mambo makubwa kuliko hata haya lakn kunakua hakuna fujo fujo kama hz?
Umesema kweli,mbona hata hapa Kenya walimu waliandamana mwezi mzima na haki yao wakapata?Afu hakuna fujo wala teargas iliyotumika?Watu wanajidai eti ni upinzani afu wanaingia maduka ya wakenya wenzao na kupora huku wakiharibu mali.Wapigwe kabisa!
 
kuna wapinzani wakiwepo ndani ya serikali hawafanyi yanayotakiwa lakini wakishatoka nje ya serikali ndipo utasikia wanadai haki ya kitu fulani.......raila alikuwa ndani ya uongozi serikalini,chini ya serikali ya umoja wa kitaifa hili swala la "TUME HURU YA UCHAGUZI" alishindwa nini kulitafutia ufumbuzi akiwa ndani ya serikali??
Hiyo tume ya uchaguzi ya sasa,Raila mwenyewe ndiye aliyewaingiza ofisini,alipokuwa waziri mkuu.Sasa hivi analialia,siasa duni hizo!
 
hivi mbona nchi za wenzetu wanaandamana kwa mambo makubwa kuliko hata haya lakn kunakua hakuna fujo fujo kama hz?


Siyo kweli, ukiona maandamano ya Amani ujue hayatishii Serikali au utawala uliopo lkn ikishafikia kwamba sasa Serikali inatishiwa basi pia hupigwa marufuku au watu huvamiwa na kutawanya na Askari rejea ,,USA baby" occupy wall street waandanamaji walitawanywa kwa nguvu ya Askari kwenye miji mbalimbali huko ,,USA baby" na wengi waliumizwa, rejea maandamao huko Genoa, Italia Askari waliua raia pia

Hii occupy Wall street huko New york City ,,USA baby"
article-2049137-0E5F81D400000578-769_634x518.jpg


-b9e9539b51aaccfa.JPG



Angalia buti ya askari halafu tofautisha na buti ya askari wa Kenya

occupy_wall_street_AP111117032255_540x405.jpg


9870_489.jpg


occupywallstreetprotesterbleeding.jpg
Snapz-Pro-XScreenSnapz013.jpg
 
Afrika afrika afrika........!!!! Tunamatatizo yanayofanana na yote yameletwa na watawala!
 
Unataka a deal na Raila!. Kwani Uhuru naye ni mpumbavu ambaye hawezi kuchambua watu wake wanaandamana kwa kutaka nini? Kwa nini kwanza unataka adeal na mtu badala ya kuangalia hoja inayolalamikiwa na kudeal nayo?

Mbona akili fupi sana na sioni quality ya uongozi? Au ndiyo unashamirisha utawala wa mabavu?
Mlevi uyo ndio jinsi walivyozoea uku kwetu anadhani kila Rais anawaza utumbo kama yeye.
 
kuna wapinzani wakiwepo ndani ya serikali hawafanyi yanayotakiwa lakini wakishatoka nje ya serikali ndipo utasikia wanadai haki ya kitu fulani.......raila alikuwa ndani ya uongozi serikalini,chini ya serikali ya umoja wa kitaifa hili swala la "TUME HURU YA UCHAGUZI" alishindwa nini kulitafutia ufumbuzi akiwa ndani ya serikali??
Ungejua tume za kiafrika usinge sema hvo, tume ya kenya mwanzoni ilikuwa furesh kabsa, ila walipo anza kulewa sifa na kunywa kahawa na watawala wanajisahau kabsa

Na ndo ttzo la tme ztu za kiafrika
 
Back
Top Bottom