Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,585
- 194,834
Nimecheka kwa nguvu 🤣🤣🤣🤣Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
Nimecheka kwa nguvu 🤣🤣🤣🤣Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
Likes ni tamu asikudanganye mtu🤣🤣🤣Unafungua JF unakuta notifications kumi na, unafungua kujua walioreply na kulike comments zako. Unaingia unakuta ni member mmoja kalike comments zako kumi! Si zako tu. Kalike thread nzima. Inakata timu kabisa maana likes zenyewe siyo sincere.
Basi kwa shingo upande ikanilazimu kuwaignore members wote wenye tabia ya kulike thread nzima.
Experience yangu JF imeboreka sana.
Leo nataka nikupitie tukale kitimoto pale mianzini.😅😅 una mahangaiko mkuu
😍 hiyo avatar ni wewe?🥰🥰🥰Ivo yaan
Leo nataka nikupitie tukale kitimoto pale mianzini.
umependeza, is that you ?KJ07 big up kamanda❤️❤️❤️❤️👊
Hao wanastahili tuzo
No ni mdogo wa mama Janet😍 hiyo avatar ni wewe?
Unaeza dhani umeandika pumba 😆 unafeel kuwa ignored
Usiniambie kwa sasa upo nje ya nchi.Mianzini ndio wapi tena
No,huyo unaemwona wadhani ndo anaweza andika utopolo ule wa Jana🙄umependeza, is that you ?
Mkuu naona unataka usaliti kambi ya chaputa, umefikia hatua nzuri 😂umependeza, is that you ?
😀😀😀Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
I do her REMOTELYMkuu naona unataka usaliti kambi ya chaputa, umefikia hatua nzuri 😂
Taratiibuuu Lazima awe wangu huyo😋😋😋Mkuu naona unataka usaliti kambi ya chaputa, umefikia hatua nzuri 😂
Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
Mama jei PM?No ni mdogo wa mama Janet