Ofcooooooooooourse! Afu may hiyoooooooooo
Ana au Ame.........Anaelekea kuchanganyikiwa.
Kazi kweliAna au Ame.........
Halafu ukizingatia anaumwa kisukari sijui hiyo sukari itamsaidiaje na kisukari chakeHuyo mpeleka sukari na yeye alikuwa anaumwa. Sijui hajawaza hilo! Halafu kg 50 kwani anataka kupikia wanzuki? Hahahahaaa