Baada ya kuomba kazi kwa Magufuli na kukosa sasa anaomba sukari

Alisema alidhania kuwa Mbatia angekua anampelekea hiyo kilo 50 kila mwezi kama jinsi alivyokuwa anajitapa kwenye kampeni cha ajabu hata nusu kilo hajawahi pelekewa
 
Shida ni kwamba huyu kaka public kwa jambo lislo na public interest, yeye kama waliahidiana wapelekeane
 
Shida ni kwamba huyu kaka public kwa jambo lislo na public interest, yeye kama waliahidiana wapelekeane
Asipeleke huyu Mzee mnoko sana alikwenda kumpigia debe magufuli wakati yeye anamgombea urais kwenye chama chake
 
Back
Top Bottom