Baada ya kumpata Magufuli, hili ndilo litakalokwamisha mabadiliko

[quote uid=163990 name="don xxx" post=21958199]Lengo lipi?[/QUOTE]<br />Kwani wewe Uonavyo nchi unatakiwa kufika wapi?
 
[quote uid=163990 name="don xxx" post=21958199]Lengo lipi?
<br />Kwani wewe Uonavyo nchi unatakiwa kufika wapi?[/QUOTE]
Kama unajua anataka kuipeleka wapi nambie nami nijue, ndo maana nimekuuliza mkuu. Kwani kuuliza dhambi?
 
<br />Kwani wewe Uonavyo nchi unatakiwa kufika wapi?
Kama unajua anataka kuipeleka wapi nambie nami nijue, ndo maana nimekuuliza mkuu. Kwani kuuliza dhambi?[/QUOTE]
Eti hivi Kwa watu wanaotumia vidonge vya uzazi was mpango wanatumia kila Siku au Kwa mwezi Mara moja au Kwa mwaka?
 
Bado sana,he is a contradictory character simuelew km n msaf au mchafu,maana Kuna Mambo anayofanya anajkanganya na kutoeleweka,2020 lowasa ndio chaguo sahihi!
 
Kaombe kazi kwa Bashite,ataongea na Magu ili upewe hata ukatibu wa chama tawi
 
Mimi nikipewa ukatibu wa tawi unafikiri ni faida gani inayoweza kupatikana any way!
Utafaidika sana mkuu,sio sawa na kule CHADEMA na baadae ACT ambako mkono hukufika kinywani.Usipuuzie,mpigie simu Bashite
 
Utafaidika sana mkuu,sio sawa na kule CHADEMA na baadae ACT ambako mkono hukufika kinywani.Usipuuzie,mpigie simu Bashite
Hivi huwa matumizi ya dawa za kuzuia mimba ukoje! I mean vidonge!?
 
Mimi ni tabibu na ndio maana nataka kujua umri wa ujauzito wako dadaa! Nipanic kwa kutaka kukusaidia? Hapana!
Mkuu, kuna solo LA nyama Comoro, kama unaweza chinja ,pack tafuta vibali export utarudi na fedha za kigeni
 
[quote uid=337960 name="Baraka Issack Msomba" post=21968620]According to............[/QUOTE]<br />Wewe ushauri wako nini Mkuu?
 
Sawa, hatukatai lakini aache chuki, double standard, na asiwaone maadui wasio muunga mkono mfano baadhi ya wapinzani wake kisiasa.
 
Sawa, hatukatai lakini aache chuki, double standard, na asiwaone maadui wasio muunga mkono mfano baadhi ya wapinzani wake kisiasa.
Ila kukwete aliishi vizuri sana na wapinzani lakini naye alilaumiwa kweli.
 
Back
Top Bottom