Baada ya kufuatilia sana Nimegundua Mungu yupo ,ila hakuna dini wala dhehebu lililo bora kuliko lingine .Mungu ni mmoja tu

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
1,433
3,206

View: https://youtube.com/shorts/WWmBwoKcRi4?si=MXTAzBwxQMUNtmyg

Kwanza kabisa Mungu atusamehe kwa yale yote mabaya tunayoyafanya . Lakini ifahamike mitume na manabii wanajaribu tu kumuelezea tu huyu Mungu mkuu ambae hakuna anaemjua wala kuwahi muona .

Kwa kifupi hata dini zetu za asili zilikuwa sawa tu , ni ujinga kuamini kabla ya waarabu au wazungu wazee wetu hawakuwa sahihi .

Pili binafsi niliamua kuchukua muda wangu kufuatilia sana jambo la uwepo au kutokuwepo kwa Mungu yaani muumbaji wa kila kitu .

Niligundua Mungu yupo na anaipenda hii Dunia tunayo na kwa kifupi SISI SOTE NI NDUGU TUNAPASWA KUPENDANA SANA .

Kuna sababu kuu mbili kwanini Mungu yupo :-

1. Dunia tunayo ishi imepewa uwezo wa tofauti wa kuwezesha sisi kuishi lakini pia ni Sayari ambayo imepewa Mwezi na Sayari ya Jupiter kuiilinda na majanga mbali mbali.

Kwa maana rahisi bila Gravity ya Mwezi na Jupiter dunia ingekuwa inashuhudia majanga kila siku na kuna uwezekano isingekuwepo .
View: https://youtube.com/shorts/mlwCOAQu9v0?si=cwgqFs5a9PTX-pVQ

2.Hakuna chanzo kinachoonesha na ambacho ni endelevu kuonesha namna gani binadamu alitengenezwa au anatengenezwa .

Kwa hizi sababu utagundua kuna kitu au Mtu aliyeweka na anacontrol hii Dunia hakuna namna binadamu kutokea tu na dunia kupewa ulinzi mkubwa namna hii .

Kama Mungu anavyoipenda Dunia basi naamini huko aliko anatamani na kupenda binadamu tufanye mema .

SISI NI WAMOJA hakuna aliyesahihi kuliko mwingine sababu Mungu yupo ila sote manabii ,mitume wa zamani na sasa wanajaribu kueleza Mungu yukoje na anataka nini .

Binafsi naamini Mungu yupo ila hizi dini na madhehebu ndiyo kila moja linajaribu kueleza namna gani Mungu alivyo na nini anataka . TUPENDANE hizi dini na madhehebu ni mapokeo kwa namna nilivyo fuatilia .

Muwe na Siku Njema . Special thanks to Isaac Newton kwa kusacrifice social life na kufanya mambo makubwa ambayo mpaka sasa kanuni zake tunazitumia kufanya mambo mbali mbali .

View: https://youtube.com/shorts/lkAyO2iCQxg?si=0RTf6d_gkmv4Hs-Q


View: https://youtube.com/shorts/NInhDab5lbg?si=9JyvmkIlhzCiPiNV
 
Atheists wakisikia neno Mungu na Yesu wanapata kichefuchefu. Sijui hicho kichefuchefu kinatoka wapi wakati hawaamini kama kuna Mungu.
Zaburi 14:1
[1]Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
(To the chief Musician, A Psalm of David.) The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works, there is none that doeth good.
 
Atheists wakisikia neno Mungu na Yesu wanapata kichefuchefu. Sijui hicho kichefuchefu kinatoka wapi wakati hawaamini kama kuna Mungu.
Zaburi 14:1
[1]Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
(To the chief Musician, A Psalm of David.) The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works, there is none that doeth good.
Binafsi naamini Mungu yupo ila issues za dini , madhehebu naona ni mapokeo tu hatupaswi kuchukiana
 

View: https://youtube.com/shorts/WWmBwoKcRi4?si=MXTAzBwxQMUNtmyg

Kwanza kabisa Mungu atusamehe kwa yale yote mabaya tunayoyafanya . Lakini ifahamike mitume na manabii wanajaribu tu kumuelezea tu huyu Mungu mkuu ambae hakuna anaemjua wala kuwahi muona .

Kwa kifupi hata dini zetu za asili zilikuwa sawa tu , ni ujinga kuamini kabla ya waarabu au wazungu wazee wetu hawakuwa sahihi .

Pili binafsi niliamua kuchukua muda wangu kufuatilia sana jambo la uwepo au kutokuwepo kwa Mungu yaani muumbaji wa kila kitu .

Niligundua Mungu yupo na anaipenda hii Dunia tunayo na kwa kifupi SISI SOTE NI NDUGU TUNAPASWA KUPENDANA SANA .

Kuna sababu kuu mbili kwanini Mungu yupo :-

1. Dunia tunayo ishi imepewa uwezo wa tofauti wa kuwezesha sisi kuishi lakini pia ni Sayari ambayo imepewa Mwezi na Sayari ya Jupiter kuiilinda na majanga mbali mbali.

Kwa maana rahisi bila Gravity ya Mwezi na Jupiter dunia ingekuwa inashuhudia majanga kila siku na kuna uwezekano isingekuwepo .
View: https://youtube.com/shorts/mlwCOAQu9v0?si=cwgqFs5a9PTX-pVQ

2.Hakuna chanzo kinachoonesha na ambacho ni endelevu kuonesha namna gani binadamu alitengenezwa au anatengenezwa .

Kwa hizi sababu utagundua kuna kitu au Mtu aliyeweka na anacontrol hii Dunia hakuna namna binadamu kutokea tu na dunia kupewa ulinzi mkubwa namna hii .

Kama Mungu anavyoipenda Dunia basi naamini huko aliko anatamani na kupenda binadamu tufanye mema .

SISI NI WAMOJA hakuna aliyesahihi kuliko mwingine sababu Mungu yupo ila sote manabii ,mitume wa zamani na sasa wanajaribu kueleza Mungu yukoje na anataka nini .

Binafsi naamini Mungu yupo ila hizi dini na madhehebu ndiyo kila moja linajaribu kueleza namna gani Mungu alivyo na nini anataka . TUPENDANE hizi dini na madhehebu ni mapokeo kwa namna nilivyo fuatilia .

Muwe na Siku Njema . Special thanks to Isaac Newton kwa kusacrifice social life na kufanya mambo makubwa ambayo mpaka sasa kanuni zake tunazitumia kufanya mambo mbali mbali .

View: https://youtube.com/shorts/lkAyO2iCQxg?si=0RTf6d_gkmv4Hs-Q


View: https://youtube.com/shorts/NInhDab5lbg?si=9JyvmkIlhzCiPiNV


"Hakika dini ya kweli mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..."
(Surat Aal-Imran 3:19)
 

View: https://youtube.com/shorts/WWmBwoKcRi4?si=MXTAzBwxQMUNtmyg

Kwanza kabisa Mungu atusamehe kwa yale yote mabaya tunayoyafanya . Lakini ifahamike mitume na manabii wanajaribu tu kumuelezea tu huyu Mungu mkuu ambae hakuna anaemjua wala kuwahi muona .

Kwa kifupi hata dini zetu za asili zilikuwa sawa tu , ni ujinga kuamini kabla ya waarabu au wazungu wazee wetu hawakuwa sahihi .

Pili binafsi niliamua kuchukua muda wangu kufuatilia sana jambo la uwepo au kutokuwepo kwa Mungu yaani muumbaji wa kila kitu .

Niligundua Mungu yupo na anaipenda hii Dunia tunayo na kwa kifupi SISI SOTE NI NDUGU TUNAPASWA KUPENDANA SANA .

Kuna sababu kuu mbili kwanini Mungu yupo :-

1. Dunia tunayo ishi imepewa uwezo wa tofauti wa kuwezesha sisi kuishi lakini pia ni Sayari ambayo imepewa Mwezi na Sayari ya Jupiter kuiilinda na majanga mbali mbali.

Kwa maana rahisi bila Gravity ya Mwezi na Jupiter dunia ingekuwa inashuhudia majanga kila siku na kuna uwezekano isingekuwepo .
View: https://youtube.com/shorts/mlwCOAQu9v0?si=cwgqFs5a9PTX-pVQ

2.Hakuna chanzo kinachoonesha na ambacho ni endelevu kuonesha namna gani binadamu alitengenezwa au anatengenezwa .

Kwa hizi sababu utagundua kuna kitu au Mtu aliyeweka na anacontrol hii Dunia hakuna namna binadamu kutokea tu na dunia kupewa ulinzi mkubwa namna hii .

Kama Mungu anavyoipenda Dunia basi naamini huko aliko anatamani na kupenda binadamu tufanye mema .

SISI NI WAMOJA hakuna aliyesahihi kuliko mwingine sababu Mungu yupo ila sote manabii ,mitume wa zamani na sasa wanajaribu kueleza Mungu yukoje na anataka nini .

Binafsi naamini Mungu yupo ila hizi dini na madhehebu ndiyo kila moja linajaribu kueleza namna gani Mungu alivyo na nini anataka . TUPENDANE hizi dini na madhehebu ni mapokeo kwa namna nilivyo fuatilia .

Muwe na Siku Njema . Special thanks to Isaac Newton kwa kusacrifice social life na kufanya mambo makubwa ambayo mpaka sasa kanuni zake tunazitumia kufanya mambo mbali mbali .

View: https://youtube.com/shorts/lkAyO2iCQxg?si=0RTf6d_gkmv4Hs-Q


View: https://youtube.com/shorts/NInhDab5lbg?si=9JyvmkIlhzCiPiNV

Mungu yupo na anaendelea na uumbaji na hajawahi kuacha na wala hataacha kuumba kila wakati. Ila Mungu ni tofauti sana na tunavyofikiri.
 
Screenshot_20250213-132147_Chrome.jpg
 

View: https://youtube.com/shorts/WWmBwoKcRi4?si=MXTAzBwxQMUNtmyg

Kwanza kabisa Mungu atusamehe kwa yale yote mabaya tunayoyafanya . Lakini ifahamike mitume na manabii wanajaribu tu kumuelezea tu huyu Mungu mkuu ambae hakuna anaemjua wala kuwahi muona .

Kwa kifupi hata dini zetu za asili zilikuwa sawa tu , ni ujinga kuamini kabla ya waarabu au wazungu wazee wetu hawakuwa sahihi .

Pili binafsi niliamua kuchukua muda wangu kufuatilia sana jambo la uwepo au kutokuwepo kwa Mungu yaani muumbaji wa kila kitu .

Niligundua Mungu yupo na anaipenda hii Dunia tunayo na kwa kifupi SISI SOTE NI NDUGU TUNAPASWA KUPENDANA SANA .

Kuna sababu kuu mbili kwanini Mungu yupo :-

1. Dunia tunayo ishi imepewa uwezo wa tofauti wa kuwezesha sisi kuishi lakini pia ni Sayari ambayo imepewa Mwezi na Sayari ya Jupiter kuiilinda na majanga mbali mbali.

Kwa maana rahisi bila Gravity ya Mwezi na Jupiter dunia ingekuwa inashuhudia majanga kila siku na kuna uwezekano isingekuwepo .
View: https://youtube.com/shorts/mlwCOAQu9v0?si=cwgqFs5a9PTX-pVQ

2.Hakuna chanzo kinachoonesha na ambacho ni endelevu kuonesha namna gani binadamu alitengenezwa au anatengenezwa .

Kwa hizi sababu utagundua kuna kitu au Mtu aliyeweka na anacontrol hii Dunia hakuna namna binadamu kutokea tu na dunia kupewa ulinzi mkubwa namna hii .

Kama Mungu anavyoipenda Dunia basi naamini huko aliko anatamani na kupenda binadamu tufanye mema .

SISI NI WAMOJA hakuna aliyesahihi kuliko mwingine sababu Mungu yupo ila sote manabii ,mitume wa zamani na sasa wanajaribu kueleza Mungu yukoje na anataka nini .

Binafsi naamini Mungu yupo ila hizi dini na madhehebu ndiyo kila moja linajaribu kueleza namna gani Mungu alivyo na nini anataka . TUPENDANE hizi dini na madhehebu ni mapokeo kwa namna nilivyo fuatilia .

Muwe na Siku Njema . Special thanks to Isaac Newton kwa kusacrifice social life na kufanya mambo makubwa ambayo mpaka sasa kanuni zake tunazitumia kufanya mambo mbali mbali .

View: https://youtube.com/shorts/lkAyO2iCQxg?si=0RTf6d_gkmv4Hs-Q


View: https://youtube.com/shorts/NInhDab5lbg?si=9JyvmkIlhzCiPiNV


One million likes 👍
 
Mungu mkuu ambae hakuna anaemjua wala kuwahi muona
Wapo wanaomjua Mungu na wanamuona ila ni wale tu ambao wako katika roho ndio wanaomjua na wanamuona kwa kuwa Mungu ni roho na ukitakakuomuona na kumjua ni lazima uwe rohoni,ukiwa mwilini kamwe huwezi kumuona Mungu.
 

View: https://youtube.com/shorts/WWmBwoKcRi4?si=MXTAzBwxQMUNtmyg

Kwanza kabisa Mungu atusamehe kwa yale yote mabaya tunayoyafanya . Lakini ifahamike mitume na manabii wanajaribu tu kumuelezea tu huyu Mungu mkuu ambae hakuna anaemjua wala kuwahi muona .

Kwa kifupi hata dini zetu za asili zilikuwa sawa tu , ni ujinga kuamini kabla ya waarabu au wazungu wazee wetu hawakuwa sahihi .

Pili binafsi niliamua kuchukua muda wangu kufuatilia sana jambo la uwepo au kutokuwepo kwa Mungu yaani muumbaji wa kila kitu .

Niligundua Mungu yupo na anaipenda hii Dunia tunayo na kwa kifupi SISI SOTE NI NDUGU TUNAPASWA KUPENDANA SANA .

Kuna sababu kuu mbili kwanini Mungu yupo :-

1. Dunia tunayo ishi imepewa uwezo wa tofauti wa kuwezesha sisi kuishi lakini pia ni Sayari ambayo imepewa Mwezi na Sayari ya Jupiter kuiilinda na majanga mbali mbali.

Kwa maana rahisi bila Gravity ya Mwezi na Jupiter dunia ingekuwa inashuhudia majanga kila siku na kuna uwezekano isingekuwepo .
View: https://youtube.com/shorts/mlwCOAQu9v0?si=cwgqFs5a9PTX-pVQ

2.Hakuna chanzo kinachoonesha na ambacho ni endelevu kuonesha namna gani binadamu alitengenezwa au anatengenezwa .

Kwa hizi sababu utagundua kuna kitu au Mtu aliyeweka na anacontrol hii Dunia hakuna namna binadamu kutokea tu na dunia kupewa ulinzi mkubwa namna hii .

Kama Mungu anavyoipenda Dunia basi naamini huko aliko anatamani na kupenda binadamu tufanye mema .

SISI NI WAMOJA hakuna aliyesahihi kuliko mwingine sababu Mungu yupo ila sote manabii ,mitume wa zamani na sasa wanajaribu kueleza Mungu yukoje na anataka nini .

Binafsi naamini Mungu yupo ila hizi dini na madhehebu ndiyo kila moja linajaribu kueleza namna gani Mungu alivyo na nini anataka . TUPENDANE hizi dini na madhehebu ni mapokeo kwa namna nilivyo fuatilia .

Muwe na Siku Njema . Special thanks to Isaac Newton kwa kusacrifice social life na kufanya mambo makubwa ambayo mpaka sasa kanuni zake tunazitumia kufanya mambo mbali mbali .

View: https://youtube.com/shorts/lkAyO2iCQxg?si=0RTf6d_gkmv4Hs-Q


View: https://youtube.com/shorts/NInhDab5lbg?si=9JyvmkIlhzCiPiNV

Sema miungu ipo na wala sio mmoja. Kila kitu kina asili yake na hiyo asili ni Mungu wake.
 
Back
Top Bottom