Aziz Ki kumuoa Hamisa: Mama yake mzazi amtolea Uvivu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi kuacha kuwa na kimbelembele

Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa

"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.

"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.

"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.


Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.
Wanaume wa Dar es Salaam wakiwa kwenye mazungumzo:
''Ehee utakosaje harusi ya Misa jomoni''
''Jamani Diamond kaopoa demu mzuri, hadi raha''
''Yule beki wa Yanga ananikosha, wee acha tu''
''Tena nimekumbuka, ngoja nim-follow Wema account yake ya Tik Tok''
''Umewahi kula tunda kimasira wewe''?
Wanaume wa nchi nyingine wakiwa kwenye mazungumzo
''Kesho nakuja tumalizie ile project ya AI''
''Hivi ni investiment gani ni bora kwa watoto wangu?''
''Hawa virus inaonekana wamekuwa sugu, tuangalie namna nzuri ya ku-deal nao''
''Kesho tunazindua engine ya ndege inayotumia mafuta kidogo zaidi''
''Ile nchi watoto wengi wanakufa kwa utapiamlo, tujitahidi kuwapa misaada''
 
Haandiki kiingereza. Kule hawaongei kiingereza, ni translations kwenda ngeli ndo inazinguaga especially kama kulikuwa na typing errors
Mama wa Aziz amefanya interview kadhaa kwa kiingereza safi kabisa amesoma soma kidogo.
Nenda Yanga TV YouTube channel umsikikize huyo mama. Aziz mwenyewe anaongea na kuandika kiingereza kizuri.
Baadhi ya errors kweli inaweza kuwa typing error. Nyingine ni pure grammatical errors.
 
Jamaa kaamua kuoa majanga lakini kwann wengine mnampangia maisha kama vile mtaumia nyinyi?!
 
Aziz katekwa, Usikute Hersi na mobetto wameshamchota mchanga na kumroga

Aangalie asije akarudi na njumu za kuchezea mpira kwao, Pesa yote imetafunwa na singo maza
 
Mama ameshtuka, Zamani ilikuwa ni Tanga peke yake ndio ukioa huko hurudi tena kwenu, sasa ni Tanganyika yote. Keshokutwa utasikiaAziz kapewa uraia na Burkina faso ndo basi tena
 
Kumekucha kumekucha na makucha eeeh
1738064100949.jpg
 
Hamisa aliyekuwa na Rick Ross, Diamond na Majizzo ndo atatuliwa kwa Aziz K? Jamaa ni mshamba hata hajishtukii hao waliopita sidhani kama anaweza kufikia hata nusu ya hela walizonazo
Mapenzi ya hawa wawili yametokana na yanga,,,pengine wamefikia kuoana baada ya kugundua mambo mengine wakiwa ndani ya uhusiano. Lakini Pesa sio sababu,,,Hamisa ana pesa pengine kuliko Aziz Ki.
 
Back
Top Bottom