Aziz Ki kumuoa Hamisa: Mama yake mzazi amtolea Uvivu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi kuacha kuwa na kimbelembele

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,426
120,779
Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa

"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.

"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.

"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.

Screenshot_20250216_074659_Instagram.jpg
Screenshot_20250216_074735_Instagram.jpg

Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.
 
Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa

"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.

"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.

"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.

Chanzo: manaratv

Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.
Ambatanisha na link Mzee baba
 
Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa

"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.

"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.

"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.

Chanzo: manaratv

Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.
Anatafuta Kiki tu
 
Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa

"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.

"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.

"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.

Chanzo: manaratv

Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.
Siamini kama kweli Azizi Ki anampenda Hamisa, huyu Azizi atakuwa kalishwa tu dawa za unyamwezini kumpumbaza Aziz. Si kawaida na inakuwa vigumu sana kwa mwanamme kuoa mwanamke 'cha wote' tena mwenye watoto na wanaume tofauti tofauti. Sidhani kama hii ndoa itadumu, Azizi nyege ikimuisha tu, akili itamrudi.
 
Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa

"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.

"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.

"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.

Chanzo: manaratv

Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.
Aziz Ki mshamba sana.

Hapo anatapeliwa mchana kweupeee
 
Back
Top Bottom