GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,426
- 120,779
Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye kushirikishwa.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa
"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.
"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.
"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.
Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa
"Hersi ngoja nikuambie kitu, wewe si mtu wa kupanga harusi ya mwanangu, wewe ni kiongozi masikini tu anayetaka kwa hali yoyote kwa damu au moto, kumbakisha kijana huyu Tanzania.
"Unaweza kuandaa harusi yake ikiwa ana furaha alhamdoulilah... Lakini usimtajie kile ambacho si Kweli... Unatumia maisha yako kusema uwongo. Hiyo ni wewe usiiweke familia hii ya thamani katika upuuzi wako, sawa?, Usijali atakua Mungu ni mmoja.
"Vipi nimekupa ruhusa ya kuandaa na wakati sipo, inakuwaje?, Inakuwaje msichana anataka Mwanaume bila kujaribu kujua familia yake, Ilikuwa sehemu ya mkataba wake, kazi na mpira wa miguu ndivyo hivyo."- Ameandika Sanata Ki.
Hii Ndoa kwa Mapungufu kadhaa ninayoyaona ikidumu Mwaka Mmoja basi 'Nitaukweka' kutoka Kampala hadi Dodoma.