Smart codetz
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 188
- 747
DONE DEAL ✅
Tumefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) ya kumsajili kiungo mshambuliaji wao, Franck Tiesse.
Nyota huyo Muivory Coast, amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili utakaonza rasmi msimu ujao 2024/25.
Welcome to Azam FC, Tiesse! 👏
Tumefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) ya kumsajili kiungo mshambuliaji wao, Franck Tiesse.
Nyota huyo Muivory Coast, amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili utakaonza rasmi msimu ujao 2024/25.
Welcome to Azam FC, Tiesse! 👏