Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

Mkuu Rav4 Old model Nyeusi..
Zile wanaziita za wazee Ni Bei Gani.???
Na sifa zake(am not familiar na magari ila nataka liwe gari langu la kwanza next month)..

Na pia Swift ya Silver bei gani.??
Na sifa zake.?

Na kati ya Swift Na Passo Ipi Bore?(Kudumu,Mafuta,Ukisasa)..
 

Attachments

  • f.jpg
    f.jpg
    33.3 KB · Views: 338
Mkuu Rav4 Old model Nyeusi..
Zile wanaziita za wazee Ni Bei Gani.???
Na sifa zake(am not familiar na magari ila nataka liwe gari langu la kwanza next month)..

Na pia Swift ya Silver bei gani.??
Na sifa zake.?

Na kati ya Swift Na Passo Ipi Bore?(Kudumu,Mafuta,Ukisasa)..
 
Mkuu Rav4 Old model Nyeusi..
Zile wanaziita za wazee Ni Bei Gani.???
Na sifa zake(am not familiar na magari ila nataka liwe gari langu la kwanza next month)..

Na pia Swift ya Silver bei gani.??
Na sifa zake.?

Na kati ya Swift Na Passo Ipi Bore?(Kudumu,Mafuta,Ukisasa)..
rav4 old model 1995-1999- Bei 16 Million

suzuki swift its the best, bei kuanzia 11m
 

Attachments

  • 325919-01.jpg
    325919-01.jpg
    30.6 KB · Views: 313
Nashukuru Mkuu..
Napata Rangi Nyeusi.?

Hujanambia Tofauti Ya Swift Na Passo Mpaka useme ni best..
swift ina body ngumu kiasi compare na passo, hicho ndio kikubwa zaidi but katika ulaji wa mafuta tofauti ni ndogo sana labda upate passo yenye 3piston amabyo mafundi wengi wanasema sio nzuri kwa mazingira yetu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom