Shoo na Mbowe Wana mgombea mmoja 😂Mh. Mbowe akawapigia chapuo kwa kukiweka chama rehani kupata fedha ya harambee ya kanisa kkkt machame. Leo hii wanambwaga Baada ya chama kuzorota.
Kwahiyo alifanya hivyo kwa Maslai yakeMh. Mbowe akawapigia chapuo kwa kukiweka chama rehani kupata fedha ya harambee ya kanisa kkkt machame. Leo hii wanambwaga Baada ya chama kuzorota.
2025 bongo movie wangekua series ilitakiws wawe wanaandaa script sasahivi"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo
"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo
Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
Hakuna askofu hapo huyo ni tapeli tu na kwa sababu analishwa na waumini wake wanao teseka hajui shida zinazowakuta waumini wake ndio maana anasifia visivyo takiwa kusifiwa."Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa...
Ameshiba hongo mpaka anajamba"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo
"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo
Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
Tusibiri mapovu toka kwa wale vichaa wakiongozwa na Mdude na Lema."Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo
"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo
Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
Wew miaka nenda rudi umsifie mzee mbowe ambae nae ukifika wakati inabidi akuazima mhombea urais toka chama tawalaHakuna askofu hapo huyo ni tapeli tu.na kwa sababu analishwa na waumini wake wanao teseka hajui shida zinazowakuta waumini wake ndio maana anasifia visivyo takiwa kusifiwa.
Acheni kumtukana mjomba wake mzee Mbowe aiseeAmeshiba hongo mpaka anajamba
Huyu Bishop alipata tabu sana kipindi cha JPM. Hivyo, ameona ampigie debe Mama Samia maana haingilii masuala ya dini."Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo
"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo
Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.
Si bora kujamba kunya kabisa mbuzi huyuAmeshiba hongo mpaka anajamba
2025 bongo movie wangekua series ilitakiws wawe wanaandaa script sasahivi
"Rais tuliyenaye mama Samia (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) haitaji kupigiwa debe kwa njia zisizofaa kwa sababu Mungu ameshamuweka ni Rais wetu sio tu wa kipindi hiki kimoja (mtanishangaa na kusema Askofu Shoo kapiga siasa, aah mimi nilionyeshwa na niliyasema mwanzo mwa kuingia kwa Rais, wale waliokuwa wakisema aah sijuwi nini mwanamke huyu nikawaambia hapana Mungu amepanga iwe hivyo na huyu ndiye atakuwa Rais wetu na sisi tutamuheshimu) kuna wanaotamani kwamba amalizie kwa kipindi hiki na mimi niliwauliza kwa nini sio vipindi viwili?" -Askofu Shoo
"Hawa Marais wetu tumeweka historia nzuri tu kwa mujibu wa Katiba kuwa Marais wanakaa kwa vipindi viwili huyu mnasema aishie kipindi kimoja kwa kuwa ni mwanamke?, acheni hiyo, acheni hiyo ndugu zangu, ni kwa neema ya Mungu tumepewa Rais huyu na kwa neema hiihii atahitimisha kipindi hiki cha muhula wa kwanza na kwa neema hiyohiyo ataongoza salama kwa kipindi cha pili lazima, ilimradi tu Watanzania tukiacha unafiki tuseme tuone yale ambayo ametenda, sisi hatuna mashaka, tunamuombea na Mungu atasikia maombi yetu" -Askofu Shoo
Ni ujumbe wa Askofu Dkt. Fredrick Shoo ambaye ni Mkuu wa zamani wa Kanisa la KKKT.