Askari wanne wafukuzwa kazi kwa kufuta picha za kwenye kamera ya mwendokasi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,498
5,970
GSDf3hTXwAAhryA.jpeg
Mtakumbuka Mei 30,2024, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kushikiliwa Askari Polisi wanne (4) kwa ajili ya uchunguzi. Askari hao walikuwa wanafanya kazi kitengo cha usalama barabarani Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro.

Baada ya uchunguzi kukamilika ilibainika kuwa, askari hao walikuwa wamefuta picha kutoka kwenye camera za Jeshi la Polisi walizokuwa wanatumia kupima mwendo kasi (speed rader) wa madereva waliokuwa wamekiuka sheria za usalama barabarani kwa maslahi yao binafsi.

Walishtakiwa kijeshi na wakapaatikana na hatia na Julai 8,2024 walifukuzwa kazi na kufutwa Jeshini.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi
Makao Makuu ya Polisi Dodoma, Tanzania

Pia soma:Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi juu ya tuhuma za baadhi ya Trafiki kuhusika na uchepushaji wa fedha
 
Taarifa nusu hii.

For the sake of public interest kwanini wasitajwe majina.??

Wanaficha nini kusema wamechukuliwa hatua gani [kifungo au wamepigwa faini na kurudi uraiani].

Hao watu wakija kufanya "impersonation" sababu jamii haiwajui kama zile story za polisi feki au wanajeshi feki watu watajuaje kama mtu aliwahi kuwa polisi ila sasa sio polisi tena?
 
Mtakumbuka Mei 30,2024, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kushikiliwa Askari Polisi wanne (4) kwa ajili ya uchunguzi. Askari hao walikuwa wanafanya kazi kitengo cha usalama barabarani Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro.

Baada ya uchunguzi kukamilika ilibainika kuwa, askari hao walikuwa wamefuta picha kutoka kwenye camera za Jeshi la Polisi walizokuwa wanatumia kupima mwendo kasi (speed rader) wa madereva waliokuwa wamekiuka sheria za usalama barabarani kwa maslahi yao binafsi.

Walishtakiwa kijeshi na wakapaatikana na hatia na Julai 8,2024 walifukuzwa kazi na kufutwa Jeshini.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi
Makao Makuu ya Polisi Dodoma, Tanzania
Wakaombe kazi za utingo kwenye kampuni za mabasi husika, lazima watapata.
 
Mtakumbuka Mei 30,2024, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kushikiliwa Askari Polisi wanne (4) kwa ajili ya uchunguzi. Askari hao walikuwa wanafanya kazi kitengo cha usalama barabarani Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro.

Baada ya uchunguzi kukamilika ilibainika kuwa, askari hao walikuwa wamefuta picha kutoka kwenye camera za Jeshi la Polisi walizokuwa wanatumia kupima mwendo kasi (speed rader) wa madereva waliokuwa wamekiuka sheria za usalama barabarani kwa maslahi yao binafsi.

Walishtakiwa kijeshi na wakapaatikana na hatia na Julai 8,2024 walifukuzwa kazi na kufutwa Jeshini.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi
Makao Makuu ya Polisi Dodoma, Tanzania

Pia soma:Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi juu ya tuhuma za baadhi ya Trafiki kuhusika na uchepushaji wa fedha
Polisi ni wahuni ila wa Mwanga walizidi aisee. Hata utoke njiapanda na speed 30 mpaka mwanga, ukifika picha ya speed zaidi ya 50 lazima ikuhusu. Labda muwe msafara wa Magari zaidi ya Moja
 
Mtakumbuka Mei 30,2024, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kushikiliwa Askari Polisi wanne (4) kwa ajili ya uchunguzi. Askari hao walikuwa wanafanya kazi kitengo cha usalama barabarani Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro.

Baada ya uchunguzi kukamilika ilibainika kuwa, askari hao walikuwa wamefuta picha kutoka kwenye camera za Jeshi la Polisi walizokuwa wanatumia kupima mwendo kasi (speed rader) wa madereva waliokuwa wamekiuka sheria za usalama barabarani kwa maslahi yao binafsi.

Walishtakiwa kijeshi na wakapaatikana na hatia na Julai 8,2024 walifukuzwa kazi na kufutwa Jeshini.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi
Makao Makuu ya Polisi Dodoma, Tanzania

Pia soma:Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi juu ya tuhuma za baadhi ya Trafiki kuhusika na uchepushaji wa fedha
Dah! Yale majizi ya Fedha za umma yanadunda tu mitaani!!
 
Back
Top Bottom