Askari ajiua kwa kujinyonga kutokana na kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi

Dah,mbona askari kawadhalilisha wenzake na serikali pia,Ivi umri huo ameshindwa kununua hata kitanda,huku nje wasafi wa mavazi lakini ndani ndo mpo ivyo kumbe
 
Kwanini binadamu anafikia hatua hii ya kujitoa uhai?! Kama ni mwanamke si utafute mwingine?!!! Why?!!!
 
Hiyo sidhan kama picha halis askali hawez kuwa anaishi hapo na kulala chini
 
Askari no.G.4185, PC Geofrey, kabila Mhehe, miaka 32, askari wa kituo kidogo cha polisi Igurubi amejinyonga leo hii trh 26/01/017 muda wa kama saa 21:00 usiku chumbani kwake kwa kutumia shuka lake kwa kulifunga kwenye kenji ya nyumba na kujinyonga nalo mpaka kufa.

Kiini: Wivu wa kimapenzi baada ya kugombana na mpenzi wake aitwae Martha Mussa, miaka 26, kabila Mngoni, mkazi wa Tabora. Kazi yake ni bar medi ktk grocery ya Jeska?

Mbinu: Kujinyonga kwa kutumia shuka. Shuhuda wa kwanza kuona ni askari no.H8442, PC Nassor wa kituo kidogo cha polisi Igurubi, ambaye anaishi nae nyumba moja vyumba tofauti na ilikuwa muda wa saa 21:00 usiku. Tukio bado halijakaguliwa.

Mwisho.
Toka polisi Igurubi.
26/01/017
22:40 usiku.

View attachment 464900
wanazidi kupunguza idadi ya wanaume duniani...
 
Kumbe kuna sehemu kila aina ya mtu akidhulumiwa anakuwa emotional na anaumia. BASI HAIPASWI KUISHI KWA KIDHULUMU WENGINE... MANUNG'UNIKO HUWA YANAISHI...
MUNGU mlaze panapomstahili huyo poti
 
Back
Top Bottom