kirusi cha ukimwi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 799
- 646
Hapana siwezi kutumia dhumuni la jina langu mkuu"Basi wewe utakikutumia dhumuni la jina lako"
Hapana siwezi kutumia dhumuni la jina langu mkuu"Basi wewe utakikutumia dhumuni la jina lako"
Hakuogopi?maana una kirusi cha ukimwi.au bado hujajitangaza?Mimi mke wa jirani yetu ananshobokea kweli ila namkwepaga kinoma akinchekea naweka uso wa mbuzi akinuna natabasamu yani ni mwendo wa viceversa tu
Kweli mkuu.ndo tabia zao kuficha kama wameolewa ili wachepuke.mara nyingine wanawake wenye waume hawaseme/.wanaficha hizo taarifa ili kufanikisha ubaradhuli wao.akishakumiliki ndio unakuja kuambiwa/kujua na kuacha inakuwa sheedah.hawasemi ukweli.mwanzoni baadhi ya wake za watu.
Siku hizi hawa wadada hawajali hilo wao tamaa za mwili au pesa mambo yanakuwa poaHakuogopi?maana una kirusi cha ukimwi.au bado hujajitangaza?
Dah,kwa namna hii wataisha kwakweli.Siku hizi hawa wadada hawajali hilo wao tamaa za mwili au pesa mambo yanakuwa poa