Apewe Au Akanunue?Ili kma una ndgu arusha umwambie akaunge foleni na yye apewe sukari
iyo H ni kwaajili ya kuonyesha Msisitizo kiongozi wangu.Ukweli
Hyu naye ni fisadi achunguzwe sawa sawa, haiwezekani auze kwa hiyo bei kama amenunua kwa shs 1900Mfanya biashara mpuuzi.
Yaani ununue sukari 1800 uuze 1700 na kodi ulipe!!
Wewe ni UNICEF?
Alishafaidika mara dufu enzi hizo, sasa hivi anadai haoni dhida kupata hasara TZS 200 kwa kilo.Mfanya biashara mpuuzi.
Yaani ununue sukari 1800 uuze 1700 na kodi ulipe!!
Wewe ni UNICEF?
No comentSio maigizo tu ni pamoja na ujinga,yaani wanataka kuturudisha enzi za Ujamaa na Kujitegemea ili ULANGUZI NA MWENDO WA KURUKA virejee tena au?,jibu pekee kwa matatizo ya UHABA ni kuondoa UKIRITIMBA na UMANGIMEZA,yaani watu wapewe uhuru wa kuagiza bidhaa zote muhimu kutoka nje bila kuleta UHARO wa KULINDA VIWANDA NCHINI ambavyo viko TAABANI na vimejaa MAJITU MAVIVU YASIO NA TIJA kwa serikali wala wananchi,ACHA WENYE PESA ZAO WAINGIZE BIDHAA ZOTE NA USHINDANI WA KIBIASHARA UTATOKEA NA WANANCHI WATAFAIDIKA.
Thank you mkuu,hii Serikali haina uchungu na wananchi wa Tanzania hata tone,mambo yanayohusu bidhaa muhimu hayahitaji rocket science,hata mtoto wa shule ya kata atakujibu nini kifanyike,my fooooot eti KIBALI KUAGIZA SUKARI NJE,SHHHIIIT,zama za Mwalimu Nyerere eti unatakiwa ukiwa na sherehe kama ya HARUSI unatakiwa upate KIBALI cha kununua SODA aina ya DOUBLE COLA (shit product)kutoka kwa R.D.D,basi rushwa ikawa ndio IBADA.Sasa wanataka kuturudisha kule kule kwenye UKENGE au siyo?,.Eti TUNAKAMUA MAJIPU ewe MOLA ULIO MBINGUNI TUOKOE NA HII SERIKALI ISIO NA TAALUMA YA UONGOZI .No coment
C wanagawa burreApewe Au Akanunue?
Nilianza kusikitika nimekosa mgawo wangu kumbe imeshuka bei? Jamani, kuweni makini na mnachoandika ili na wengine waelewe sawasawa. Usiandike kama unayeongea na mtu ambaye atakuwa anakuuliza maswali ya papo kwa papo.hivi hili neno Bure nadhani linatumika vibaya.
Semeni hukweli sukari inauzwa na siyo kugawiwa kwa wananchi.
Hapa naomba hili jambo liwekwe vizuri, maana linaleta mkanganyiko kwa wananchi.
Unakuta mwananchi Anakwenda akidhani anagawiwa bure. Alafu anaambiwa lete fedha!