Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,537
Mbona wanaupdate mara kwa mara au ndio umeanza kutumia products za apple karibuni?View attachment 334071
FBI baada ya kuhangaika wee mwishoe walifanikiwa kufungua iphone 5c ya seyyed farook, sasa apple leo hii wame-update ios kuziba mianya. hivyo FBI wakitaka kufungua tena itabidi watumie janja nyingine.