Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,848
- 2,635
Teh teh teh atakuwa alikuwa mwanaume wa dar.




Atahama lini?Harafu wanaume wa Darisalama bwana, hivi ,mnapo sema mikoani mnamaanisha nini? subiri Magufuli aamie DOM ndo utajua mkoani ni wapi
Naona mifuta na sukari tuSoseji moja, yai moja,kikombe cha chai.... Asubuhi
Kiepe yai, mshkaki mmoja... Mchana
Kipande cha muhindi chenye pilipili na ndimu.. jioni
Kiepe yai na Fanta... Usiku
Siku imeisha!!!!
me hua sirembiAta mie mwanaume anaerembua kwenye msosi simuelewi kabisaa! Ata kama ndo kumaintain mwili, si apige mazoezi!!!
ahahaaaa mshikaki mmoja hata hawamaliziSoseji moja, yai moja,kikombe cha chai.... Asubuhi
Kiepe yai, mshkaki mmoja... Mchana
Kipande cha muhindi chenye pilipili na ndimu.. jioni
Kiepe yai na Fanta... Usiku
Siku imeisha!!!!
mifupa ya kuku wa mjini imejaa ma arv wewe na dawa za kufanya maiti isiozeMi kiukwel nikiletewa hawa kuku wa humu town ambao now ni legelege huwa sibakizi kitu.natafuna mpaka mifupa.kuku laini utadhan waliumbwa kwa nyama tupu.na siku hizi nmezila kula kabisa hawa kuku mabitoz na masister du.
Nlishangaa nmeishi na jamaa mmoja hostel miaka ya nyuma anaimba wimbo eti mwanaume hasifiwi kula. Nlishangaa sana. Sili ili nisifiwe nakula sababu mwil unahitaj. Hawa jinsia me ya siku hizi zaman wasingeoa au kupata madem kabisa. Maana miaka yetu ilitaka ukakamavu hasa
mwanaume anayependa misosi anitafute.yaani bora hata usinigegede tule vizuri
NLIVOONA HII COMMENT KABLA YA KUONA JINA LA ALIYE COMMENT NILISHAJUA NI WEWE...HAHAHAH ILA JAMAA KAZINGUA BISHOO SANA YULE....USIPOKULA UTAWEZAJE KUZAASoseji moja, yai moja,kikombe cha chai.... Asubuhi
Kiepe yai, mshkaki mmoja... Mchana
Kipande cha muhindi chenye pilipili na ndimu.. jioni
Kiepe yai na Fanta... Usiku
Siku imeisha!!!!
SASA WEWE NDO ULITAKIWA UPEWE JIKO HILO...MKEUmenikumbusha mwaka jana kuna rafiki yangu nilimsindikiza kwenda kuchukua jiko pande za Lushoto, imefika usiku kila mmoja akapewa bonge la ugari na nusu jogoo jamaa akagusa tu akashiba kwa kuogopa kisa yuko ukweni . Aise mm nilifukia mpka sahani zikawa nyeupe jamaa.. Maana huku pwani jogoo adimu sana
UMEONA ASKARI WANGU MUOGA MUOGA....HILO BONGE LA STORY..story nzuri
mwanaume anayependa misosi anitafute.yaani bora hata usinigegede tule vizuri
yap vijana wa bongo muviUMEONA ASKARI WANGU MUOGA MUOGA....HILO BONGE LA STORY..