ANIMALS INTELLIGENCE: Nani mwenye busara zaidi hapa?

Umefiriki nilivyokuwa nikifikiri

Hekima tunayoipata hapa ni
Bata ni kiongozi, kuku ni mlizi

Funzo
Hekma tunayojifunza hapa ktk kuongoza familia zetu inatupasa kuiga ungozi Wa bata watoto wanapaswa kukufuata ww mzazi na sio mzazi kuwafuata watoto kama kuku.

Na ktk kulinda familia zetu inatupasa kuzilinda kama kuku, hii itakufanya uweze kujua watoto wote wamerudi nyumbani na wapo salama. Ktk mfumo Wa ulinzi Wa bata tukiuleta ktk mfumo Wa maisha ya mwanadamu hautokuwa mzur maana hata watoto wasipo kuwa nyumbani mzazi hutoweza kufaham

Bata hana hekima hiyo Mkuu, yeye anawafuata watoto na yupo tayari kugombea msosi na wanae.
 
Watoto wa bata hulazimika kutangulia mbele ili kuwahi chakula, maana mama bata huwa anagombea chakula na watoto kinyume na mama kuku anayehangaika mpaka kujiridhisha watoto wake wapate kula, CHUNGUZA.
hii kali nayo asante
 
Kwanza nimesahihisha hapo juu,
Naam!
Ni kua Bata kutangulia mbele yeye watoto kumfata, ni ishara ya uongozi bora wa familia, mzazi unapaswa kucontrol familia yako, watoto wakufate wewe kwa kila kitu, uwaelekeze kila jambo, na kwa kua wanakufata wewe, ukipoteza muelekeo nao watakufata, so utakua makini katika njia zako siku zote.

Kuku kutanguliza watoto mbele yeye kuja nyuma ni ishara ya uongozi dhaifu, mzazi unakua unaongozwa na watoto, watoto wakienda huku huna budi kuwafata badala ya wao kukufata wewe,tumeona familia kadhaa watoto ndio wenye sauti kuliko wazazi.

Ahsante.
Katika maelezo yako hujakusa mfumo upi ni salama zaidi
Kuku anajali zaidi usalama wa vifaranga kuliko bata
Bata ni kiongozi mzuri lakini mfumo wake haujali usalama
 
Wote wako sawa, ila kitu cha kuzingatia kwa wote ; mosi; flexibility ya kukabiliana na maadui watakaoshambulia uzao wao, pili,assurance of security, anayewacha watoto wake nyuma may be, anauhakika wa alikotoka kuko secure na hivo hana uhakika wa anakoenda ndiyo maana anatangulia ili kukabiliana na adui aliyoko mbele. vise versa (mtazamo tu)
 
Mkuu huyo kuku ni zaidi kwani analea anahudumia chakula na analinda mwanzo mwisho huyo bata yy akishaangua hana time na watoto kwenye chakula ki vyavyao watajua wenyewe
 
Back
Top Bottom