inategemea na chakula wanachokula na namna ya upatokanaji wa vyakula hivyo
Eenhe, tupe faida bibieKuku hutangulia mbele vifaranga huja nyuma,
Bata hutanguliza watoto mbele yeye huja nyuma.
Kuna mazingatio makubwa sana ya ulezi kati ya hawa ndege wawili.
View attachment 351790
Kwa muda mrefu nimeendelea kushangaa intelejensia ya wanyama kwa muono huu wa picha hapa kwamba kuna viumbe View attachment 351790 View attachment 351266 hutanguliza watoto na wengine hukaaa sambamba na wengine hukaa nyuma ya watoto wao
je uongozi upi ni bota hapa?
View attachment 351266
uchambuzi mzuri na hawa wanaoacha kama bata falsafa yao ni ipi sasatanguliza watoto mbele, unawaona na hata adui akija unamuona na ni rahisi kujihami na kuwaokoa watoto. adui akija kwa nyuma anaanza na wewe hivyo unaweza kujihami na kujinasua hivyo watoto wanakua salama, kuku ni mlezi mzuri zaidi sababau hakubali kumuacha mtoto nyuma