The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,613
Mshana hebu tuambie, nimesikia mara nyingi kuwa serikali hailogwi! Je! Kuna ukweli hapo?
Sitaki unafiki wala kuishi maisha yasiyompendeza MunguKwa hio hii ni zaidi ya ile ya kampeni
Sasa mshana kwanini usiitumie fursa hii... Bandika kibao tu pale kiandike
DR SUPABO WA KUFICHA MAJIPu NA MARADHI MENGINE YA KISIASA NA KUKWEPA KODI ...Unamalizia na contact ... Baada ya masaa itakuwa ni foleni
Unaweza kuitwa ikulu... Ufute madeni ya tz
Kimbilio letu ni Mungu kwa wale waaminio...na kama taifa inabidi tupitie haya tunayopitianchi inaenda wapi niambie mshana? niambie sasa watu wanshikana uchawi halafu wanafikiri ndo mwendo. Hivi wale walimu walowekwa sero sababu ya kuzini na wanafunzi tukifungulia mbwa watakwenda wangapi lupango??? Mzee wa usoga atakuwa humo pia na vijana wake sasa hawa wamerepresent walimu wote? I am 58 and i would have one of those teachers but I was smart but my friend was not she is diseased. Tufanyanyeje?
hahahaaaaamchawi mkubwa wewe.
swissme
Mshana hebu fafanua bwana wengine hatuna elimu hiyo!Ukijua nini maana ya Serikali utapata jibu kwanini hairogeki...! Serikali sio object bali ni subject
Mshana hebu dadavua ila kitu kilogege silazima kiwe specific?Ukijua nini maana ya Serikali utapata jibu kwanini hairogeki...! Serikali sio object bali ni subject
Mshana jr Unamuongelea January Makamba na Ombeni Sefue na vilaza vya ccm.Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa![]()
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa
Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa![]()
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa
Hapana ni consultant wao
Mh! Mi nawaonea huruma albino jamani! Wasije wakatumika kama kondoo wa kafara bure