Anga limechafuka

Kwa hio hii ni zaidi ya ile ya kampeni

Sasa mshana kwanini usiitumie fursa hii... Bandika kibao tu pale kiandike

DR SUPABO WA KUFICHA MAJIPu NA MARADHI MENGINE YA KISIASA NA KUKWEPA KODI ...Unamalizia na contact ... Baada ya masaa itakuwa ni foleni

Unaweza kuitwa ikulu... Ufute madeni ya tz
Sitaki unafiki wala kuishi maisha yasiyompendeza Mungu
 
nchi inaenda wapi niambie mshana? niambie sasa watu wanshikana uchawi halafu wanafikiri ndo mwendo. Hivi wale walimu walowekwa sero sababu ya kuzini na wanafunzi tukifungulia mbwa watakwenda wangapi lupango??? Mzee wa usoga atakuwa humo pia na vijana wake sasa hawa wamerepresent walimu wote? I am 58 and i would have one of those teachers but I was smart but my friend was not she is diseased. Tufanyanyeje?
Kimbilio letu ni Mungu kwa wale waaminio...na kama taifa inabidi tupitie haya tunayopitia
 
Kwa alichofanya mwanzo Wa mwaka kutafuta story ya kunyamazisha ishu Yake Na ikapatikana Na sasa story ndio hiyo kweli anga limechafuka
 
Mkuu nina omba kutoka njee yamada kidogo.
Nilitaka kuku uliza ivi wachawi nawanga huwa wana amini siku wakifa wanaenda wapi? .
 
73e490198ef2c5368cb76c1f6d8d4e0e.jpg
Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa
Mshana jr Unamuongelea January Makamba na Ombeni Sefue na vilaza vya ccm.
 
73e490198ef2c5368cb76c1f6d8d4e0e.jpg
Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa



Ha ha ha ha asante kwa taarifa mkuu...

Hawalali kwa kipindi hichi
 
Back
Top Bottom