johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,400
- 144,800
Bajeti ya Serikali ya Kenya 2024/25 imeruhusu mazao ya Kilimo kutoka Tanzania kupata Ushindani wa Haki kwenye Soko la Kenya
Kwa awamu zilizopita pamekuwepo na ugumu kwa wakulima wa Tanzania kuuza mazao yao Kenya
Mungu wa mbinguni awabariki Rais Samia na Rais Ruto
Kamwene 😃😃
Kwa awamu zilizopita pamekuwepo na ugumu kwa wakulima wa Tanzania kuuza mazao yao Kenya
Mungu wa mbinguni awabariki Rais Samia na Rais Ruto
Kamwene 😃😃