mwangangafyelile
Senior Member
- Apr 10, 2017
- 166
- 204
We jamaa una nguvu sana kumfikisha demu wako kileleni ndo hataki kukuacha.!!mlima gani huo huwa unambeba mpaka kileleni kisha unamshusha..!!?na sisi tuwabebe wake zetu.By darasa la Mapenzi
Wakuu nimekuwa na Mchumba wangu takribani miaka miwili sasa, Nikiwa katika hatua ya kukataa shauri nimuoe kabisa nimweke ndani nikapenyezewa kaumbea kutoka kwa shoga yake kuwa huyu mchumba wangu kamwambia kuwa hanipendi nilivyo ila sababu ya kuwa na mimi muda wote huo ni kwasababu namfikisha kileleni ipasavyo kitu ambacho amekikosa kwa wanaume wote ambao amewahi kuwa na mahusiano nao...
Sasa Je Kweli Mwanamke wa Hivyo Napaswa Kumuoa ? Naombeni Ushauri
Inasikitisha sana...
kileleni ndio mkoa gani?
Mahondaw..Naomba Jaribu Siku moja moja uandike Ujumbe bila kumtaja smart.Tunajuaaaaa ni MTU wako you don't have any reason ya kuprove anything..Labda kama una hamu Aibiweeee!!!!!!
Sijui kama mmegunduaa.MnaboaaaaaInasikitisha sana...
Huyo rafiki wa mwanamke wake ni mnafiki na kutaka kuharibu mahusiano ya watu...
Asisikilize maneno ya watu, kusikiliza maneno ya wtu kwenye mapenzi ni sumu kubwa sana...
They speak a lot about me and you mahondaw wangu... But sijali na wala sisikilizi chochote...
By darasa la Mapenzi
Wakuu nimekuwa na Mchumba wangu takribani miaka miwili sasa, Nikiwa katika hatua ya kukataa shauri nimuoe kabisa nimweke ndani nikapenyezewa kaumbea kutoka kwa shoga yake kuwa huyu mchumba wangu kamwambia kuwa hanipendi nilivyo ila sababu ya kuwa na mimi muda wote huo ni kwasababu namfikisha kileleni ipasavyo kitu ambacho amekikosa kwa wanaume wote ambao amewahi kuwa na mahusiano nao...
Sasa Je Kweli Mwanamke wa Hivyo Napaswa Kumuoa ? Naombeni Ushauri