Anasema Hanipendi Nilivyo, Ila Kwasababu Namufikisha Kileleni Basi Ndio Sababu ya Kuwa na Mimi

By darasa la Mapenzi

Wakuu nimekuwa na Mchumba wangu takribani miaka miwili sasa, Nikiwa katika hatua ya kukataa shauri nimuoe kabisa nimweke ndani nikapenyezewa kaumbea kutoka kwa shoga yake kuwa huyu mchumba wangu kamwambia kuwa hanipendi nilivyo ila sababu ya kuwa na mimi muda wote huo ni kwasababu namfikisha kileleni ipasavyo kitu ambacho amekikosa kwa wanaume wote ambao amewahi kuwa na mahusiano nao...


Sasa Je Kweli Mwanamke wa Hivyo Napaswa Kumuoa ? Naombeni Ushauri
We jamaa una nguvu sana kumfikisha demu wako kileleni ndo hataki kukuacha.!!mlima gani huo huwa unambeba mpaka kileleni kisha unamshusha..!!?na sisi tuwabebe wake zetu.
 
Hapo ndiyo muamini mwanamke haridhiki hata ufanye nini, ungekuwa uanakata pochi la kufa mtu angedai humtii ipasavyo, wamtia ipasavyo anadai kuna mengine humridhishi! Kichwa chauma kabisa...
 
Ndoa siku zote mmoja ampende mwenzake na mmoja aridhie we jitahidi kumfikisha kilelen tu
 
Mkuu huyo shoga yake anataka umtekenye na yeye... Ndio maana anamwaga mboga ili umwage ugali
 
jamano jf kuna mengi khaa!! sasa nomba kuuliza siku ukishindwa kumfikisha atakuvumilia au atatafuta wa kumfikisha,?

utakapomuoa jiandae kwani atamtafuta atakayempenda na wew utakuwa mume mfikishaji kwa kilele tu
 
Ni vizuri ungeshare unafanyaje.....maana ni tatizo hilo...
 
Hivi tamaduni za hawara yako kumpa hadhi ya uchumba ni za kabila gani?
Yaani mwanamke upige nae umalaya umwite mchumba!
Kanuni za uchumba unazielewa?
Kama kila linalokuijia kichwani na kukupendeza unaona lafaa kutamkwa, kwanini basi usimuite mkeo kabisa? Ni kitugani unachositia kumuita hivyo?
Vijana badilikeni
 
Ivi unaweza kua na MTU bila kumpenda,awa wanawake bhana hatari sana ..too selfish!
 
Inasikitisha sana...

Huyo rafiki wa mwanamke wake ni mnafiki na kutaka kuharibu mahusiano ya watu...

Asisikilize maneno ya watu, kusikiliza maneno ya wtu kwenye mapenzi ni sumu kubwa sana...

They speak a lot about me and you mahondaw wangu... But sijali na wala sisikilizi chochote...
Sijui kama mmegunduaa.Mnaboaaaaa
 
Mi najua huyo mwanamke hawezi kukuach hata ukose pesa sababu hiki ndo kitu wanawake wengi hukisikia tu na kukitamani tukiachilia mbali pesa
 
Acha kusikiliza umbea utakukosesha mke mwema. Si kila rafiki anafurahia kuwaona mna furahia na penzi lenu.

By darasa la Mapenzi

Wakuu nimekuwa na Mchumba wangu takribani miaka miwili sasa, Nikiwa katika hatua ya kukataa shauri nimuoe kabisa nimweke ndani nikapenyezewa kaumbea kutoka kwa shoga yake kuwa huyu mchumba wangu kamwambia kuwa hanipendi nilivyo ila sababu ya kuwa na mimi muda wote huo ni kwasababu namfikisha kileleni ipasavyo kitu ambacho amekikosa kwa wanaume wote ambao amewahi kuwa na mahusiano nao...


Sasa Je Kweli Mwanamke wa Hivyo Napaswa Kumuoa ? Naombeni Ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom